• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Uchaguzi

Uchaguzi

KITENGO CHA UCHAGUZI

MAJUKUMU YA KITENGO CHA UCHAGUZI - JIMBO LA KILOLO


Kitengo cha Uchaguzi katika ngazi ya Halmashauri kinatekeleza Majukumu yafuatayo.

1.Kuratibu na kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani.

2.Kusimamia na kuratibu uandikishaji wa Wapiga kura katika Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani katika Jamhuri ya Muungano.

3.Kusimamia na Kuratibu uandikishaji wa Wapiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

(Uchaguzi wa Wenyeviti wa Vijiji,Mitaa,Vitongoji na wajumbe wa vijiji na Mitaa)

4.Kuratibu na kusimamia zoezi la ujazaji wa Rejesta ya wakazi katika Mitaa,Vijiji na Vitongoji.

5.Kupitia na Kuboresha Mipaka ya Kata,Vijiji,Mitaa na Vitongoji ili kusogeza huduma kwa Wananchi.

6.Kuendelea kutoa Elimu ya Mpiga kura kwa wananchi, taasisi za Umma na za watu Binafsi.

7.Kuendelea kukusanya takwimu za wananchi waliofikisha Umri wa Miaka 18 na kuendelea.

8.Kukusanya Takwimu za Wapiga kura waliopotelewa na Vitambulisho vya Mpiga kura na kuiarifu Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)

9.Kuandaa taarifa ya nafasi wazi za viongozi wa Serikali za Mitaa na kuomba kibali Ofisi ya Rais Tamisemi kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo.

10.Kuratibu mafunzo ya kuwajengea uwezo kwa Wenyeviti wa Vijiji,Mitaa,Vitongoji na wajumbe wa kamati za Vijiji na Mitaa.

12.Kutekeleza Majukumu Mengine yoyote kwa Mujibu wa maelekezo toka Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 September 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA June 30, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA WAPEWA MAFUNZO YA MPANGO NA BAJETI

    November 28, 2025
  • VIKUNDI 104 VYANUFAIKA NA MIKOPO YA BILIONI MOJA NA ZAIDI.

    October 24, 2025
  • SHIRIKISHO LA UHIFADHI WA MAZINGIRA ASILIA (IUCN) LAFIKA KILOLO

    October 07, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI 48 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO, KILOLO

    August 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa