• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

DAS - AIPOKEA UCSAF KILOLO

Posted on: July 24th, 2025

Katibu Tawala wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo Bi. Nyakaji Etanga amempokea Mtendaji Mkuu wa mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF), Mhandisi Peter Mwasalyanda katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya siku ya Alhamis tarehe 24/06/2025.

Mhandisi peter amefika Wilayani Kilolo, kwa ajili ya kutekeleza maagizo yaliyotolewa na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Slaa kuhusiana na changamoto za kimtandao wanazopata wananchi wa kata ya Irole kijiji cha Ibofwee, na pia kuanzisha maabara ya kompyuta katika shule ya Sekondari Nyalumbu.

Bi. Nyakaji amemshukuru Mtendaji Mkuu wa Mawasiliano kufika ili kuyanyia kazi yale yote aliyoelekezwa na kumuahidi kumpa ushirikiano wa kutosha ili lengo lifikiwe na wananchi wazidi kufurahia huduma zinazotolewa na Serikali yao kwa maendeleo ya Wilaya ya Kilolo.

Mhandisi peter, aliongozana na Mkurugenzi kufika katika maeneo hayo mawili ili kujionea aweze kuyafanyia kazi ukaribu zaidi, ambapo katika shule ya Sekondari Nyalumbu ameahidi kufanikisha na kuiwezesha maabara ya kopyuta mpya ikiwa na vifaa vyake vyote kukamilishwa ndani ya mda mchache. Huku kwa upande wa changamoto za mawasiliano katika kijiji cha Ibofwee, atawasiliana na wahusika kwa haraka ili waje waweke kambi hapo kushughulikia changamoto hio na wananchi waanze kufurahia huduma kwa wakati na mahali popote watakapokuepo.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo Bi. Ellah Msigwa amemshukuru Mtendaji Mkuu wa Mawasiliano kwa wote, na kumuomba utekelezaji uanze mapema ili kuharakisha maendeleo na huduma kwa wananchi, kwani mawasiliano kwa sasa ndio gurudumu la kila mtu kuyafikia maendeleo katika jamii.

Mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF) ulianzishwa kwa lengo kubwa la kupeleka na kufanikisha huduma ya mawasiliano kwa Wananchi waishio katika maeneo machache ya mjini na maeneo mengi yaliyo mbali vijijini yasiyo na mvuto wa kibiashara kwa watoa huduma ya mawasiliano.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA June 30, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Kuitwa usaili wakusanya mapato October 16, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DAS - AIPOKEA UCSAF KILOLO

    July 24, 2025
  • WAHANDISI MSHINDE SITE NA MAFUNDI - DC KYANDO

    July 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WARIDHIA MIRADI YOTE KILOLO DC

    April 30, 2025
  • WILAYA YA KILOLO KUFANYA MAONYESHO MAKUBWA YA BIASHARA, KILIMO NA VIWANDA

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa