• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WAHANDISI MSHINDE SITE NA MAFUNDI - DC KYANDO

Posted on: July 12th, 2025

Kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Kilolo(KUU), imetembelea na kufanya ukaguzi  wa Miradi ili kujionea jinsi inavyotekelezwa na kusimamiwa ili wapate kujiridhisha kama inafwata ubora na itakamilika kwa wakati kama ilivyopangwa.

Ziara hiyo iliongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Mhe. Mhe. Estomin Kyando ambaye aliongozana na katibu tawala wilaya, ametoa maelekezo kw wahandisi wa halmashauri wawe wanafika na kushinda site ( kwenye miradi) kila siku ili waweze kukamilisha miradi kwa wakati na kwa ubora  unaotakiwa.

“Wahandisi acheni kujifungia ofisini tuu, tokeni muende site ambapo  miradi inatekelezwa ili muwasimamie  mafundi kwa ukaribu na muwaelekeze vizuri ili miradi  yetu ikamilike kwa wakati na kwa ubora unaokidhi viwango, ili wananchi waweze kufurahia huduma.” Amesema kyando

Miradi iliyotembelewa  ni pamoja na shule mpya za Msingi na Sekondari ambazo ni Msombwe na kipaduka zilizopo kata ya Uhambingeto.

Kwa upande wake kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Kilolo Bi. Kemilembe Kafanabo ameishukuru KUU Wilaya kwa kutembelea miradi hiyo  na kuwahakikishia kuwa yale yote walioshauri na kuagiza watayafanyia kazi kwa ukaribu zaidi ili lengo linalokusudiwa  liweze kufikiwa kwa wakati kwa maslahi mapana ya halmashauri yetu.

Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ilifanya ziara hiyo tare 10 – 11/07/2025.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA June 30, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Kuitwa usaili wakusanya mapato October 16, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WAHANDISI MSHINDE SITE NA MAFUNDI - DC KYANDO

    July 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WARIDHIA MIRADI YOTE KILOLO DC

    April 30, 2025
  • WILAYA YA KILOLO KUFANYA MAONYESHO MAKUBWA YA BIASHARA, KILIMO NA VIWANDA

    April 16, 2025
  • MAFUNZO ELEKEZI KWA AJILI YA USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA NA VIJIJI.

    January 14, 2025
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa