• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Itakayotekelezwa

                                                                      HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO

KIAMBATA Na. 1: TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO HADI KUFIKIA MWEZI SEPTEMBA, 2025.

ELIMU MSINGI

 

A. MIRADI ILIYOMALIZA FEDHA ZA UTEKELEZAJI NA MIRADI HAIJAKAMILIKA

Na
Jina la Mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha Fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya Kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1
Ujenzi wa shule mpya ya mkondo mmoja kijiji cha mtandika shule ya msingi Kidika – Kichangani
Ujenzi wa vyoo matundu 6 umekamilika, Ujenzi wa madarasa 9 na jengo la utawala 1 upo hatua ya ukamilishaji (kufunga vioo kwenye vent za milango), na matundu 10 ya vyoo ujenzi umekamilika
98
350,500,000.00
350,500,000.00
347,481,646.58
2023/24
BOOST
21.09.2024
05.9.2025
Kiasi cha Tsh.15,820,000.00 Kinahitajika ili kununua samani na bembea hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zinavyopatikana ili kununua samani
2
Ujenzi wa shule mpya ya mkondo mmoja kijiji cha Uhambingeto shule ya msingi Msombwe -Uhambingeto
Ujenzi wa jengo 1 la utawala, vyoo matundu 16 umekamilika na madarasa 9 ujenzi umekamilika bado hatua ya uwekaji wa madawati.
97
350,500,000.00
350,500,000.00
348,599,127.99
2023/24
BOOST
11.9.2024
19.4.2025
Kiasi cha Tsh.17,020,000.00 Kinahitajika ili kununua samani na bembea hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri  zinavyopatikana ili kununua samani
Jumla
 
701,000,000.00 
701,000,000.00 
696,080,774.57 
 
 
 
 
 

MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25 INAYOENDELEA KUTEKELEZWA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha Fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/ Maoni
1
Ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa na ofisi 1  katika shule ya msingi Mayoka
Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji (ufungaji wa milango na madirisha.
78
25,000,000.00
25,000,000.00
20,287,874.14
2024/2025
Mapato ya ndani
01.7.2025
30.9.2025

2
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Iyanika
Ujenzi  upo hatua za manunuzi
5
25,000,000.00
25,000,000.00
0.00
2024/2025
Mapato ya ndani
-
-
Mzabuni wa madini ujenzi hajapatikana
3
Ukamilishaji wa darasa 1 shule ya msingi Wotalisoli
Ujenzi upo hatua ya utangazaji wa zabuni za kupata mafundi na wafanyabiashara wa vifaa vya viwandani na madini ujenzi.
5
12,000,000.00
12,000,000.00
0.00
2024/25
Mapato ya ndani
-
-
Wazabuni bado hawapatikana
4
Ujenzi wa darasa 1 shule ya msingi Malendi
Ujenzi upo hatua ya
lenta
62
25,000,000.00
25,000,000.00
1,912,500.00
2024/2025
Mapato ya ndani
01.9.2025
29.11.2025

5
Ujenzi wa darasa 1 shule ya msingi Kidika
Ujenzi  upo hatua ya msingi
5
25,000,000.00
25,000,000.00
0.00
2024/2025
Mapato ya ndani
-
-
Mzabuni wa vifaa vya viwandani hajapatikana
6
Ujenzi wa madarasa 2 na ofisi kituo shikizi Muungano
Ujenzi upo hatua ya kupaua
64
16,000,000.00
16,000,000.00
14,958,950.00
2024/2025
Mapato ya ndani
24.6.2025
26.7.206525
Bati 20 zinahitajika kukamilisha
7
Ujenzi wa vyoo matundu 14 shule ya msingi Mgowelo
Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji wa  uwekaji wa malumalu na ufungaji wa mfumo wa maji safi na taka.
87
40,250,000.00
40,250,000.00
32,196,400.00
2024/2025
SRWSS
01.04.2025
31.07.2025

8
Ujenzi wa vyoo matundu 13 shule ya msingi Mtakuja
Ujenzi upo katika hatua za ukamilishaji wa kupaka rangi, na uwekaji wa malumalu
82
38,250,000.00
38,250,000.00
32,706,000.00
2024/2025
SRWSS
21.06.2025
18.09.2025

9
Ujenzi wa vyoo matundu 24 shule ya msingi Itungi
Ujenzi upo hatua ya Upauaji na upigaji wa lipu.
65
65,250,000.00
65,250,000.00
29,465,000.00
2024/2025
SRWSS
10.6.2025
30.9.2025

10
Ujenzi wa vyoo matundu 14 shule ya msingi Iwindi
Ujenzi upo hatua ya Upigaji wa rangi nje kwenye boma la choo cha wasichana na uwekaji wa malumalu choo cha wavulana, maboma na vyoo vya walimu ujenzi umekamilika,
87
40,250,000.00
40,250,000.00
31,656,749.72
2024/2025
SRWSS
19.6.2025
3.8.2025

11
Ujenzi wa vyoo matundu 22 shule ya msingi Ikuka
Ujenzi upo hatua ya uwekaji wa mfumo wa maji
64
57,250,000.00
57,250,000.00
21,300,000.00
2024/2025
SRWSS
14.6.2025
30.8.2025

12
Ujenzi wa vyoo matundu 17 shule ya msingi Ilambo
Ujenzi upo hatua ya Upauaji kwa vyoo vya   wavulana na walimu. Jengo la  vyoo vya wasichana lipo hatua ya kujenga kuta
69
46,636,243.25
46,636,243.25
40,339,000.00
2024/2025
SRWSS
09.7.2025
9.10.2025

13
Ujenzi wa vyoo matundu 23 shule ya msingi Winome
Ujenzi upo hatua ya upauaji kwa majengo ya vyoo vya wavulana na wasichana, ujenzi wa vyoo vya walimu upo hatua ya kuta.
Aidha mashimo ya maji taka yamejengwa na yapo hatua ya ufunikaji.
62
59,000,000.00
59,000,000.00
11,235,000.00
2024/2025
SRWSS
18.06.2025
18.10.2025

14
Ujenzi wa vyoo matundu 11 shule ya msingi Malendi
Ujenzi upo hatua ya uwekaji wa malunalu
82
34,000,000.00
34,000,000.00
18,402,800.00
2024/2025
SRWSS
28.6.2025
26.9.2025

15
Ujenzi wa vyoo matundu 26 shule ya msingi Ibofwe
Ujenzi upo hatua ya upauaji kwa vyoo vya wasichana, kwa vyoo vya wavulana na walimu ujenzi upo hatua ya linta. Mashimo ya maji taka yamekamilka kujengwa
63
61,000,000.00
61,000,000.00
45,000,000.00
2024/2025
SRWSS
05.7.2025
10.9.2025
Mzabuni wa vifaa vya viwandani kusuasua kupeleka  vifaa eneo la ujenzi.
16
Ujenzi wa nyumba 1 ya mwalimu (2 in 1)  shule ya msingi Wangama
Ujenzi upo hatua ya uchimbaji wa msingi
5
100,000,000.00
100,000,000.00
0.00
2024/2025
GPE-TSP
-
-
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
17
Ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa shule ya msingi Mayoka
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi na kutangaza tenda
6
75,000,000.00
75,000,000.00
0.00
2024/2025
GPE-TSP
-
-
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
18
Ujenzi wa vyoo matundu 10 shule ya msingi Tumaini
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na  ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi
5
22,000,000.00
22,000,000.00
0.00
2024/2025
GPE-TSP
-
-
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
19
Ujenzi wa nyumba 1 ya mwalimu shule ya msingi Ibumu
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na  ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi (mchanga, mawe, tofari na kokoto)
5
51,000,000.00
51,000,000.00
0.00
2024/2025
GPE-TSP
-
-
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
20
Ukamilishaji wa maboma 4 ya vyumba vya   madarasa kituo shikizi cha Kwale Kata ya Ruahambuyuni
Ujenzi upo hatua ya kutangaza tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
5
50,000,000.00
50,000,000.00
0.00
2024/25
Serikali kuu
-
-

21
Ukamilishaji wa maboma matatu ya madarasa matatu kituo shikizi cha Barabara mbili Kata ya Kising'a
Ujenzi upo hatua ya kutangaza tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
5
37,500,000.00
37,500,000.00
0.00
2024/25
Serikali kuu


Utangazaji wa zabuni bado unaendelea
22
Ukamilishaji wa maboma 3 ya vyumba vya madarasa kituo shikizi cha Lugolofu Kata ya Ibumu
Ujenzi upo hatua ya kutangaza tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
5
37,500,000.00
37,500,000.00
0.00
2024/25
Serikali Kuu


Utangazaji wa zabuni bado unaendelea
23
Ujenzi wa madarasa 2 na matundu 6 ya vyoo ya mfano ya Elimu ya Awali na ukarabati wa shule ya msingi Bomalang’ombe
Ujenzi upo hatua ya ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi, usafishaji wa maeneo ya ujenzi na utangazaji wa tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
5
170,100,000.00
170,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST


Utangazaji wa zabuni bado unaendelea
24
Ujenzi wa Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo Elimu ya Awali na Ukarabati wa Shule ya msingi Idete
Ujenzi upo hatua ya usafishaji wa maeneo ya ujenzi na manunuzi
5
170,100,000.00
170,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST


Usafirishaji wa vifaa vya ujenzi  kutokana na ujenzi wa barabara unaoendelea daraja limeondolewa hivyo kusababisha ugumu wa kufikisha vifaa eneo la mradi.
25
Ukarabati wa shule ya Msingi Iyanika
Ujenzi upo hatua ya manunuzi
5
101,000,000.00
101,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST


Mzabuni wa madini ujenzi bado hajapatikana
26
Ukarabati wa shule ya Msingi Kimala
Ujenzi upo hatua ya manunuzi
5
101,000,000.00
101,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-
Mzabuni wa madini ujenzi bado hajapatikana
29
Ukarabati wa shule ya Msingi  Mlowa
Ujenzi upo hatua ya kupaua kwa madarasa 2 na ofisi 1
5
101,000,000.00
101,000,000.00
13,742,500.00
2024/25
BOOST
-
-

30
Ukarabati wa shule ya Msingi Ifuwa
Ujenzi upo hatua ya msingi
5
101,000,000.00
101,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-
Wazabuni hawajapatikana
31
Ujenzi wa Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo Elimu ya Msingi shule ya msingi Ibofwe
Ujenzi upo hatua ya uchimbaji wa msingi
5
63,000,000.00
63,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

32
Ujenzi wa Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo Elimu ya Awali na Ukarabati wa Shule ya msingi Kitelewasi
Ujenzi upo hatua ya kumwaga jamvi kwa madarasa ya awali na kufunga linta kwa madarasa ya ukarabati
5
170,100,000.00
170,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST
22.8.2025
30.11.2025

33
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi Igunga
Ujenzi upo hatua ya jamvi
5
88,000,000.00
88,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST
 -
-

34
Ujenzi wa Madarasa 2 E/Maalum na Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi Pomerini
Ujenzi upo hatua ya kujenga msingi.
5
63,000,000.00
63,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST



35
Ujenzi wa Shule Mpya ya Elimu ya Awali na Msingi ya Mkondo Mmoja ktk Eneo La Shule ya Sekondari Kitowo
Ujenzi upo hatua ya usafishaji wa eneo la ujenzi na manunuzi
5
329,500,000.00
329,500,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

 36
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Mwangaza
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na mshimo ya majitaka na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi
5
157,100,000.00
157,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

37
Ujenzi wa Madarasa 2 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Ilawa
Ujenzi upo hatua ya kujenga msingi
5
132,100,000.00
132,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

38
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Malendi
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi na manunuzi
5
157,100,000.00
157,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

39
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 12 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Kidika
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi na manunuzi
5
169,100,000.00
169,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

40
Ujenzi wa Madarasa 4, Matundu 13 ya Vyoo E/Msingi Shule ya msingi Kidilo
Ujenzi upo hatua ya kuchimba  msingi na mashimo ya maji taka na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi ( tofali na  mawe)
5
127,000,000.00
127,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

 
JUMLA
 
3,230,086,243.25 
285,954,799.72
 
 
 
 
 

 

C. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2025/26 ILIYOPELEKEWA FEDHA MWEZI SEPTEMBA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30  Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/ Maoni
1.
Ukamilishaji wa madarasa 2 shule ya msingi Igunda
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

25,000,000.00
25,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



2.
Ukamilishaji wa madarasa 2 shule ya msingi Mbigili
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

25,000,000.00
25,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



3.
Ukamilishaji wa maadarasa 2  shule ya Msingi Ng’osi
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

24,500,000.00
24,500,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



4.
Ukamilishaji wa madarasa 2 shule ya msingi Kitumbuka
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

20,250,000.00
20,250,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



5.
Ukamilishaji wa darasa 1 shule ya msingi Umoja
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

11,500,000.00
11,500,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



6.
Ukamilishaji wa madarasa 2 shule ya msingi Isagwa
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

20,500,000.00
20,500,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



7.
Ukamilishaji wa madarasa 2 shule ya msingi Nyanzwa
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

12,250,000.00
12,250,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



JUMLA

139,000,000.00
139,000,000.00
0.00





 

 

 

 

 

 

 

2. ELIMU SEKONDARI

A. MIRADI ILIYOKAMILIKA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30, Septemba 2025
Fedha iliyotumika hadi 30, Septemba 2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1.
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo katika shule ya sekondari Ibumu
Ujenzi umekamilika
100
12,000,000.00
12,000,000.00
11,600,500.00
2024/2025
Mapato ya ndani



2.
Ujenzi wa matundu 12 ya vyoo shule ya sekondari makwema
Ujenzi wa vyoo matundu 12 umekamilika
100
16,000,000.00
16,000,000.00
6,550,000.00
2024/2025
Mapato ya ndani



 
Jumla
28,000,000.00
28,000,000.00
18,150,500.00





B. MIRADI  ILIYOMALIZA FEDHA ZA UTEKELEZAJI NA MIRADI HAIJAKAMILIKA.

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30, Septemba 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe  30, Septemba2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1
Ukamilishaji ujenzi wa bwalo la chakula katika shule ya sekondari ya wasichana Lugalo
Ujenzi wa  bwalo upo hatua ya kufunga mifumo yam aji
Mabweni bado milango
89
600,000,000.00
600,000,000.00
588,733,520.00
2024/2025
SEQUIP na Mapato ya ndani
16.9.2024
30.7.2025
Kiasi cha Tsh.152,737,360.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha mradi
2
Ujenzi wa miundombinu mipya ya shule ya sekondari   ya wasichana Lugalo
Ujenzi wa madarasa 10 na nyumba 3 za walimu zimekamilikJengo la Tehama, na Maktaba  umekamilika, Ujenzi wa   mabweni 4 upo  hatua ya ukamilishaji ( (ufungaji wa milango),
96
1,100,000,000.00
1,100,000,000.00
1,099,718,454.00
2023/24
SEQUIP
16.9.2024  1.10.2024
30.6.2025
Kiasi cha Tsh. 51,740,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha mradi
3
Ujenzi wa shule mpya sekondari ya Kipaduka
Ujenzi  wa madarasa 8 na ofisi,  jengo la utawala,  na vyoo matundu 8 ujenzi umekamilika, Ujenzi wa jengo la Tehama na  Maktaba , majengo ya maabara ya kemia na biolojia hatua ya ukamilishaji(kuweka tiles, mifumo ya maji na gasi, kuweka milango), jengo  la maabara ya fizikia hatua ya kuezeka   na ujenzi wa vyoo matundu 4  ya walimu yapo hatua ya ukamilishaji(kufunga milango) na ujenzi wa kichomea taka kimoja kimejengwa na kingine kinaendelea na tanki la ardhini upo hatua ya maandalizi
87
583,180,028.00
583,180,028.00
572,436,252.8
2023/24
SEQUIP
14.9.2024
28.2.2025
Kiasi cha Tsh. 85,296,510.92 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha
4
Ujenzi wa miundombinu mipya ya shule ya sekondari Kilolo
Ujenzi wa mabweni 2 hatua ya ukamilishaji, bweni la  wasichana hatua ya skimming, kuweka fremu za milango na topu zake na mfumo wa maji taka, bweni la wavulana hatua ya kufunga fremu za milango na topu zake na mfumo wa maji taka,  vyumba 4 vya madarasa hatua ya kuweka  umeme  na matundu 8 ya vyoo yapo hatua ya uwekaji wa mageti
94
376,000,000.00
376,000,000.00
370,487,076.60
2023/24
SEQUIP
05.09.2024
20.10.202
Kiasi cha Tsh. 49,160,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri  itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha
5
Ujenzi wa miundombinu mipya ya shule ya sekondari Ifingo
Ujenzi wa madarasa 4 na  nyumba 1 ya mwalimu ipo  hatua ya ukamilishaji kufunga milango, Ujenzi wa mabweni mawili( bweni 1  lipo hatua ya ukamilishaji kuwe(kufunga milango) na  bweni la 2 lipo hatua ya kuweka  lenta ya juu), na Matundu 10 ya vyoo yapo hatua ya ukamilishaji kuweka milango
87
480,000,000.00
480,000,000.00
457,163,447.58
2023/24
SEQUIP
07.9.2024
07.12.2024
muda uliongezwa hadi tarehe 30.05.2025
Kiasi cha Tsh.98, 139,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zinavyopatikana ili kukamilisha mradi
6
Ujenzi wa miundombinu mipya  shule ya sekondari Lukosi (Ujenzi wa Madarasa 4, vyoo matundu 10 na mabweni 2)
Ujenzi wa vyumba 4 vya madarasa na matundu 10 ya vyoo umekamilika, na Ujenzi wa mabweni 2 yapo hatua ya kuweka malumalu na kupak rangi
88
380,000,000.00
380,000,000.00
277,785,075.71
2024/2025
SEQUIP
7.11.2024 na 16.11.2024
30.1.2025 na 15.07.2025
Kiasi cha Tsh.12,800,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zinavyopatikana ili kukamilisha mradi.
7
Ujenzi wa miundombinu mipya shule ya sekondari Ikokoto (madarasa 4 na ofisi 1, Jengo la utawala, Maabara ya Kemia na Baolojia na Fizikia, Vyoo matundu 8, Jengo la Tehama, Maktaba, Kichomea taka na Mnara wa tanki la maji)
Ujenzi wa vyumba 8 vya madarasa, Jengo la Tehama, jengo la utawala, maktaba, na vyoo matundu 10 umekamilika, na ujenzi wa maabara 3 upo hatua ya kuweka malumalu
99
583,180,028.00
583,180,028.00
561,880,669.00
2024/2025
SEQUIP
13.10.2024
10.4.2025
Kiasi cha Tsh 52,416,200.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha mradi.
8
Ujenzi wa matundu 10 ya vyoo katika shule ya sekondari Mazombe
Ujenzi upo hatua ya hatua ya ukamilishaji (uwekaji wa malumalu na rangi na mifumo ya maji)
83
20,000,000.00
20,000,000.00
19,973,980.00
.00
2024/2025
Mapato ya ndani
04.5.2025
4.9.2025
Ushiriki mdogo wa nguvu kazi za wananchi.
JUMLA

 4,122,360,056.00 

 4,122,360,056.00 

 3,948,178,475.69 

 
 
 
 
 

C.MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25 INAYOENDELEA KUTEKELEZWA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe  tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
  1. 2
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo katika shule ya sekondari Ipeta
Ujenzi upo hatua ya  upauji
63
12,000,000.00
12,000,000.00
2,951,630.00
2024/2025
Mapato ya ndani



  1. 3
Ukamilishaji wa hostel ya wasichana Shule ya Sekondari ya Ipeta
Ujenzi upo kwenye hatua ya manunuzi
5
10,000,000.00
10,000,000.00
0.00
2024/25
Mapato ya ndani
-
-

  1. 4
Ukamilishaji wa hostel ya wavulana Shule ya Sekondari ya Ukwega
Ujenzi upo hatua ya manunuzi
5
15,000,000.00
15,000,000.00
0.00
2024/25
Mapato ya ndani
-
-

  1. 6
Ujenzi wa shule mpya ya sekondari kijiji cha Itonya
Taratibu za manunuzi
5
583,180,028.00
583,180,028.00
0.00
2024/2025
SEQUIP



  1. 7
Ujenzi wa vyoo matundu 5 shule ya sekondari  Ng’ang’ange
Ujenzi wa vyoo upo hatua ya ukamilishaji (bado uwekaji wa malumalu,rangi na kupachika masinki)
85
10,500,000.00
10,500,000.00
8,138,000.00
2024/2025
SEQUIP
04.082025
03.09.2025

 
JUMLA
 
630,680,028.00
630,680,028

11,089,630.00 

 
 
 
 
 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

D. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2025/26 ILIYOPELEKEWA FEDHA MWEZI SEPTEMBA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30  Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/ Maoni
1.
Ujenzi wa chumba 1 cha darasa shule ya Sekondari Irima
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

20,000,000.00
20,000,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



2.
Ujenzi wa chumba 1 cha darasa shule ya Sekondari Ng’ang’ange
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

20,000,000.00
20,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



3.
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo shule ya Sekondari Selebu
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

12,000,000.00
12,000,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



4.
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo shule ya Sekondari Irole
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

12,000,000.00
12,000,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



5.
Ujenzi wa matundu 10 ya vyoo shule ya Sekondari Uhambingeto
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

20,000,000.00
20,000,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



6.
Ukamilishaji wa ujenzi wa Bweni shule ya Sekondari Kiheka
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

20,000,000.00
20,000,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



7.
Ukamilishaji wa maabara 1 shule ya Sekondari Ifingo
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

30,000,000.00
30,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



8.
Ukamilishaji wa maabara 2 shule ya Sekondari Nyanzwa
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

30,000,000.00
30,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



JUMLA

164,000,000.00
164,000,000.00
0.00





 

 

3. AFYA

MIRADI ILIYOKAMILIKA

Na
Jina la Mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha Fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya Kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1.
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika zahanati ya Lyasa Image
Ujenzi wa kichomea taka (1), shimo la kutupia kondo la nyuma la wazazi (1), shimo la majivu (1) na fensi kuzunguka shimo la kutupia kondo la nyuma la ujenzi umekamilika
100
22,000,000.00
22,000,000.00
19,000,000.00
2024/25
SRWSS



2.
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika zahanati ya Nyanzwa
Kichomea taka, shimo la kutupia kondo la nyuma na majivu imekamilika
90
19,000,000.00
19,000,000.00
18,050,000.00
2024/25
SRWSS



JUMLA
 
41,000,000.00
41,000,000.00
37,050,000.00





MIRADI ILIYOMALIZA FEDHA ZA UTEKELEZAJI NA MIRADI HAIJAKAMILIKA

Na
Jina la Mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 31 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 31 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha Fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya Kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1
Ukamilishaji wa ujenzi wa miundombinu katika kituo cha afya nyalumbu  
Ujenzi wa nyumba ya mtumishi (3 in 1) upo hatua ya kupaka rangi na uwekaji umeme phase 2, ufungaji mfumo wa maji,uwekaji malumalu, uwekaji wa milango na madirisha , ujenzi wa njia ya kutembelea (walk ways), jengo la wodi ya wazazi na upasuaji na jengo la kufulia limekamilika.
90
250,000,000.00
250,000,000.00
243,326,698.11
2024/25
TMCHIP
13.12.2024
30.6.2025
Kiasi cha Tsh. 38,000,000.00 kinahatajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zitavyopatikana
2
Kuwezesha ukamilishaji wa Zahanati ya Mbigili
Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji
68
30,000,000.00
30,000,000.00
30,000,000.00
2024/25
Mapato ya ndani
8.4.2025
23.4.2025

JUMLA
 

280,000,000.00 

280,000,000.00 
273,326,698.11 
 
 
 
 

MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25 INAYOENDELEA KUTEKELEZWA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30, Septemba 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe  30, Septemba 2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1
Kuwezesha ujenzi wa chumba cha kufanyia uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi (CPAC) kituo cha Afya Kidabaga
Ujenzi wa chumba cha kufanyia uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi upo hatua ya kuta
35
18,000,000.00
18,000,000.00
5,480,000.00
2024/25
SUSSAN BUFFET THOMPSON
-
-

2
Ukarabati wa miundombinu ya kutolea huduma Zahanati ya Isagwa
Hatua ya manunuzi
5
50,000,000.00
50,000,000.00
0.00
2024/25
SUSSAN BUFFET THOMPSON



3
Ukarabati wa miundombinu ya afya katika zahanati ya Mgowelo
Ujenzi wa mnara wa tanki,  kichomea taka na  Ukarabati wa chumba cha kujifungulia vimekamilika   na Ujenzi wa matundu 5 ya vyoo yapo hatua ya  ukamilishaji wa kuweka mlango na madirisha.
94
55,660,000.00
55,660,000.00
41,916,385.90
2024/2025
SRWSS
14.4.2025 ( vyoo)
24.4.2025( Mnar awa tanki)
28.4.2025 (Kichomea taka)
21.6.2025 (Vyoo), 1.7.2025 (Mnar awa tenki) 5.7.2025( kichomea taka)

4
Ukamilishaji ujenzi wa Kituo cha Afya Ukumbi
Ukamilishaji wa jengo  la wagonjwa wa nje ipo hatua ya ukamilishaji wa kupaka rangi
85
30,000,000.00
30,000,000.00
26,629,000.00
2024/25
Mapato ya ndani




Ujenzi wa miundombinu Kituo cha Afya Ukumbi
Ujenzi wa jengo la OPD na maabara upo hatua ya kuchimba msingi
5
628,102,398.00
628,102,398.00
0.00
2024/25
TIMCHIP



5
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika zahanati ya Lusinga
Kichomea taka, Mashimo  ya kutupia kondo la nyuma na kutupia majivu vimekamilika,   na ujenzi  wa vyoo upo hatua ya lenta
83
58,838,421.29
58,838,421.29
39,843,623.00
2024/25
SRWSS
3.6.2025
3.9.2025

6
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika zahanati ya Mwatasi
Ujenzi wa kichomea taka , shimo la kondo la nyuma na shimo la kutupia majivu umekamilika
90
24,020,000.00
24,020,000.00
18,050,000.00
2024/2025
SRWSS
1.6.2025
15.7.2025

7
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika Kituo cha Afya Ruaha mbuyuni
Ujenzi wa shimo la kondo la nyuma na kichomea taka hatua ya ukamilishaji na ujenzi wa vyoo hatua ya msingi
25
83,200,000.00
83,200,000.00
9,000,000.00
2024/2025
SRWSS



8
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika Kituo cha Afya Ilula
Ujenzi wa shimo la kondo la nyuma, shimo la kutupia majivu na mnara wa tank ipo hatua ya ukamilishaji, na ujenzi wa vyoo upo hatua ya msingi, na ukarabati wa chumba cha kujifungulia upo hatua ya maandalizi.
25
81,200,000.00
81,200,000.00
12,895,000.00
2024/2025
SRWSS



9
Ukamilishaji wa ujenzi wa Zahanati ya Ibofwe
Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji
90
3,000,000.00
3,000,000.00
2,680,974.16
2024/2025
Mapato ya Ndani



10
Ujenzi wa kituo cha Afya Kata ya Idete
Ujenzi upo hatua za manunuzi
5
250,000,000.00
250,000,000.00
0.00
2024/2025
Serikali kuu
-
-

11
Ukamilishaji wa zahanati ya  Kijiji cha Uhominyi
Ujenzi upo hatua za manunuzi
5
60,000,000.00
60,000,000.00
0.00
2024/2025
Serikali kuu
-
-

12
Ukamilishaji wa zahanati ya  Kijiji cha Winome
Ujenzi upo hatua za manunuzi
5
60,000,000.00
60,000,000.00
0.00
2024/25
Serikali kuu
-
-

13
Ukamilishaji wa zahanati ya Kijiji cha Imalutwa
Ujenzi upo hatua za manunuzi
5
60,000,000.00
60,000,000.00
0.00
2024/25
Serikali kuu
-
-

14
Ukamilishaji wa zahanati ya Kijiji cha  Nyawegete
Ujenzi upo hatua za manunuzi
5
60,000,000.00
60,000,000.00
0.00
2024/25
Serikali kuu
-
-

15
Ukamilishaji wa nyumba ya mtumishi zahanati ya Kipaduka
Ujenzi hatua ya lenta na manunuzi
50
10,000,000.00
10,000,000.00
0.00
2024/25
Mapato ya ndani
-
-

JUMLA
 
1,573,020,819.29 
 132,756,360.06 





 

 

 

 

 

 

 

 

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30  Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/ Maoni
1.
Ujenzi wa chumba cha kuhifadhia dawa katika Hospitali ya Wilaya ya Kilolo
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
0
130,000,000.00
130,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



 
JUMLA

130,000,000.00
130,000,000.00
0.00





D. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2025/26 ILIYOPELEKEWA FEDHA MWEZI SEPTEMBA

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

UTAWALA

 

A. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25 INAYOENDELEA KUTEKELEZWA

Na
Jina la Mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha Fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya Kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1
Ujenzi wa nyumba 2 za wakuu wa idara
Taratibu za manunuzi
5
160,000,000.00
160,000,000.00
0.00
2024/25
Serikali Kuu
-
-

JUMLA
160,000,000.00
160,000,000.00
0.00





 

B. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2025/26 ILIYOPELEKEWA FEDHA MWEZI SEPTEMBA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/ Maoni
1.
Ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji (W)
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

100,000,000.00
100,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



Jumla 
100,000,000.00
100,000,000.00
0.00





 

Chanzo: Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, 2025

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 September 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA June 30, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 104 VYANUFAIKA NA MIKOPO YA BILIONI MOJA NA ZAIDI.

    October 24, 2025
  • SHIRIKISHO LA UHIFADHI WA MAZINGIRA ASILIA (IUCN) LAFIKA KILOLO

    October 07, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI 48 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO, KILOLO

    August 04, 2025
  • DAS - AIPOKEA UCSAF KILOLO

    July 24, 2025
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa