HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO
KIAMBATA Na. 1: TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO HADI KUFIKIA MWEZI SEPTEMBA, 2025.
ELIMU MSINGI
A. MIRADI ILIYOMALIZA FEDHA ZA UTEKELEZAJI NA MIRADI HAIJAKAMILIKA
| Na
|
Jina la Mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
|
Chanzo cha Fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya Kukamilisha mradi
|
Changamoto/Maoni
|
| 1
|
Ujenzi wa shule mpya ya mkondo mmoja kijiji cha mtandika shule ya msingi Kidika – Kichangani
|
Ujenzi wa vyoo matundu 6 umekamilika, Ujenzi wa madarasa 9 na jengo la utawala 1 upo hatua ya ukamilishaji (kufunga vioo kwenye vent za milango), na matundu 10 ya vyoo ujenzi umekamilika
|
98
|
350,500,000.00
|
350,500,000.00
|
347,481,646.58
|
2023/24
|
BOOST
|
21.09.2024
|
05.9.2025
|
Kiasi cha Tsh.15,820,000.00 Kinahitajika ili kununua samani na bembea hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zinavyopatikana ili kununua samani
|
| 2
|
Ujenzi wa shule mpya ya mkondo mmoja kijiji cha Uhambingeto shule ya msingi Msombwe -Uhambingeto
|
Ujenzi wa jengo 1 la utawala, vyoo matundu 16 umekamilika na madarasa 9 ujenzi umekamilika bado hatua ya uwekaji wa madawati.
|
97
|
350,500,000.00
|
350,500,000.00
|
348,599,127.99
|
2023/24
|
BOOST
|
11.9.2024
|
19.4.2025
|
Kiasi cha Tsh.17,020,000.00 Kinahitajika ili kununua samani na bembea hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zinavyopatikana ili kununua samani
|
| Jumla
|
|
701,000,000.00
|
701,000,000.00
|
696,080,774.57
|
|
|
|
|
|
||
MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25 INAYOENDELEA KUTEKELEZWA
| Na
|
Jina la mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
|
Chanzo cha Fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya kukamilisha mradi
|
Changamoto/ Maoni
|
| 1
|
Ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa na ofisi 1 katika shule ya msingi Mayoka
|
Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji (ufungaji wa milango na madirisha.
|
78
|
25,000,000.00
|
25,000,000.00
|
20,287,874.14
|
2024/2025
|
Mapato ya ndani
|
01.7.2025
|
30.9.2025
|
|
| 2
|
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Iyanika
|
Ujenzi upo hatua za manunuzi
|
5
|
25,000,000.00
|
25,000,000.00
|
0.00
|
2024/2025
|
Mapato ya ndani
|
-
|
-
|
Mzabuni wa madini ujenzi hajapatikana
|
| 3
|
Ukamilishaji wa darasa 1 shule ya msingi Wotalisoli
|
Ujenzi upo hatua ya utangazaji wa zabuni za kupata mafundi na wafanyabiashara wa vifaa vya viwandani na madini ujenzi.
|
5
|
12,000,000.00
|
12,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
Mapato ya ndani
|
-
|
-
|
Wazabuni bado hawapatikana
|
| 4
|
Ujenzi wa darasa 1 shule ya msingi Malendi
|
Ujenzi upo hatua ya
lenta |
62
|
25,000,000.00
|
25,000,000.00
|
1,912,500.00
|
2024/2025
|
Mapato ya ndani
|
01.9.2025
|
29.11.2025
|
|
| 5
|
Ujenzi wa darasa 1 shule ya msingi Kidika
|
Ujenzi upo hatua ya msingi
|
5
|
25,000,000.00
|
25,000,000.00
|
0.00
|
2024/2025
|
Mapato ya ndani
|
-
|
-
|
Mzabuni wa vifaa vya viwandani hajapatikana
|
| 6
|
Ujenzi wa madarasa 2 na ofisi kituo shikizi Muungano
|
Ujenzi upo hatua ya kupaua
|
64
|
16,000,000.00
|
16,000,000.00
|
14,958,950.00
|
2024/2025
|
Mapato ya ndani
|
24.6.2025
|
26.7.206525
|
Bati 20 zinahitajika kukamilisha
|
| 7
|
Ujenzi wa vyoo matundu 14 shule ya msingi Mgowelo
|
Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji wa uwekaji wa malumalu na ufungaji wa mfumo wa maji safi na taka.
|
87
|
40,250,000.00
|
40,250,000.00
|
32,196,400.00
|
2024/2025
|
SRWSS
|
01.04.2025
|
31.07.2025
|
|
| 8
|
Ujenzi wa vyoo matundu 13 shule ya msingi Mtakuja
|
Ujenzi upo katika hatua za ukamilishaji wa kupaka rangi, na uwekaji wa malumalu
|
82
|
38,250,000.00
|
38,250,000.00
|
32,706,000.00
|
2024/2025
|
SRWSS
|
21.06.2025
|
18.09.2025
|
|
| 9
|
Ujenzi wa vyoo matundu 24 shule ya msingi Itungi
|
Ujenzi upo hatua ya Upauaji na upigaji wa lipu.
|
65
|
65,250,000.00
|
65,250,000.00
|
29,465,000.00
|
2024/2025
|
SRWSS
|
10.6.2025
|
30.9.2025
|
|
| 10
|
Ujenzi wa vyoo matundu 14 shule ya msingi Iwindi
|
Ujenzi upo hatua ya Upigaji wa rangi nje kwenye boma la choo cha wasichana na uwekaji wa malumalu choo cha wavulana, maboma na vyoo vya walimu ujenzi umekamilika,
|
87
|
40,250,000.00
|
40,250,000.00
|
31,656,749.72
|
2024/2025
|
SRWSS
|
19.6.2025
|
3.8.2025
|
|
| 11
|
Ujenzi wa vyoo matundu 22 shule ya msingi Ikuka
|
Ujenzi upo hatua ya uwekaji wa mfumo wa maji
|
64
|
57,250,000.00
|
57,250,000.00
|
21,300,000.00
|
2024/2025
|
SRWSS
|
14.6.2025
|
30.8.2025
|
|
| 12
|
Ujenzi wa vyoo matundu 17 shule ya msingi Ilambo
|
Ujenzi upo hatua ya Upauaji kwa vyoo vya wavulana na walimu. Jengo la vyoo vya wasichana lipo hatua ya kujenga kuta
|
69
|
46,636,243.25
|
46,636,243.25
|
40,339,000.00
|
2024/2025
|
SRWSS
|
09.7.2025
|
9.10.2025
|
|
| 13
|
Ujenzi wa vyoo matundu 23 shule ya msingi Winome
|
Ujenzi upo hatua ya upauaji kwa majengo ya vyoo vya wavulana na wasichana, ujenzi wa vyoo vya walimu upo hatua ya kuta.
Aidha mashimo ya maji taka yamejengwa na yapo hatua ya ufunikaji. |
62
|
59,000,000.00
|
59,000,000.00
|
11,235,000.00
|
2024/2025
|
SRWSS
|
18.06.2025
|
18.10.2025
|
|
| 14
|
Ujenzi wa vyoo matundu 11 shule ya msingi Malendi
|
Ujenzi upo hatua ya uwekaji wa malunalu
|
82
|
34,000,000.00
|
34,000,000.00
|
18,402,800.00
|
2024/2025
|
SRWSS
|
28.6.2025
|
26.9.2025
|
|
| 15
|
Ujenzi wa vyoo matundu 26 shule ya msingi Ibofwe
|
Ujenzi upo hatua ya upauaji kwa vyoo vya wasichana, kwa vyoo vya wavulana na walimu ujenzi upo hatua ya linta. Mashimo ya maji taka yamekamilka kujengwa
|
63
|
61,000,000.00
|
61,000,000.00
|
45,000,000.00
|
2024/2025
|
SRWSS
|
05.7.2025
|
10.9.2025
|
Mzabuni wa vifaa vya viwandani kusuasua kupeleka vifaa eneo la ujenzi.
|
| 16
|
Ujenzi wa nyumba 1 ya mwalimu (2 in 1) shule ya msingi Wangama
|
Ujenzi upo hatua ya uchimbaji wa msingi
|
5
|
100,000,000.00
|
100,000,000.00
|
0.00
|
2024/2025
|
GPE-TSP
|
-
|
-
|
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
|
| 17
|
Ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa shule ya msingi Mayoka
|
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi na kutangaza tenda
|
6
|
75,000,000.00
|
75,000,000.00
|
0.00
|
2024/2025
|
GPE-TSP
|
-
|
-
|
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
|
| 18
|
Ujenzi wa vyoo matundu 10 shule ya msingi Tumaini
|
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi
|
5
|
22,000,000.00
|
22,000,000.00
|
0.00
|
2024/2025
|
GPE-TSP
|
-
|
-
|
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
|
| 19
|
Ujenzi wa nyumba 1 ya mwalimu shule ya msingi Ibumu
|
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi (mchanga, mawe, tofari na kokoto)
|
5
|
51,000,000.00
|
51,000,000.00
|
0.00
|
2024/2025
|
GPE-TSP
|
-
|
-
|
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
|
| 20
|
Ukamilishaji wa maboma 4 ya vyumba vya madarasa kituo shikizi cha Kwale Kata ya Ruahambuyuni
|
Ujenzi upo hatua ya kutangaza tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
|
5
|
50,000,000.00
|
50,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
Serikali kuu
|
-
|
-
|
|
| 21
|
Ukamilishaji wa maboma matatu ya madarasa matatu kituo shikizi cha Barabara mbili Kata ya Kising'a
|
Ujenzi upo hatua ya kutangaza tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
|
5
|
37,500,000.00
|
37,500,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
Serikali kuu
|
|
|
Utangazaji wa zabuni bado unaendelea
|
| 22
|
Ukamilishaji wa maboma 3 ya vyumba vya madarasa kituo shikizi cha Lugolofu Kata ya Ibumu
|
Ujenzi upo hatua ya kutangaza tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
|
5
|
37,500,000.00
|
37,500,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
Serikali Kuu
|
|
|
Utangazaji wa zabuni bado unaendelea
|
| 23
|
Ujenzi wa madarasa 2 na matundu 6 ya vyoo ya mfano ya Elimu ya Awali na ukarabati wa shule ya msingi Bomalang’ombe
|
Ujenzi upo hatua ya ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi, usafishaji wa maeneo ya ujenzi na utangazaji wa tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
|
5
|
170,100,000.00
|
170,100,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
|
|
Utangazaji wa zabuni bado unaendelea
|
| 24
|
Ujenzi wa Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo Elimu ya Awali na Ukarabati wa Shule ya msingi Idete
|
Ujenzi upo hatua ya usafishaji wa maeneo ya ujenzi na manunuzi
|
5
|
170,100,000.00
|
170,100,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
|
|
Usafirishaji wa vifaa vya ujenzi kutokana na ujenzi wa barabara unaoendelea daraja limeondolewa hivyo kusababisha ugumu wa kufikisha vifaa eneo la mradi.
|
| 25
|
Ukarabati wa shule ya Msingi Iyanika
|
Ujenzi upo hatua ya manunuzi
|
5
|
101,000,000.00
|
101,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
|
|
Mzabuni wa madini ujenzi bado hajapatikana
|
| 26
|
Ukarabati wa shule ya Msingi Kimala
|
Ujenzi upo hatua ya manunuzi
|
5
|
101,000,000.00
|
101,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
-
|
-
|
Mzabuni wa madini ujenzi bado hajapatikana
|
| 29
|
Ukarabati wa shule ya Msingi Mlowa
|
Ujenzi upo hatua ya kupaua kwa madarasa 2 na ofisi 1
|
5
|
101,000,000.00
|
101,000,000.00
|
13,742,500.00
|
2024/25
|
BOOST
|
-
|
-
|
|
| 30
|
Ukarabati wa shule ya Msingi Ifuwa
|
Ujenzi upo hatua ya msingi
|
5
|
101,000,000.00
|
101,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
-
|
-
|
Wazabuni hawajapatikana
|
| 31
|
Ujenzi wa Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo Elimu ya Msingi shule ya msingi Ibofwe
|
Ujenzi upo hatua ya uchimbaji wa msingi
|
5
|
63,000,000.00
|
63,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
-
|
-
|
|
| 32
|
Ujenzi wa Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo Elimu ya Awali na Ukarabati wa Shule ya msingi Kitelewasi
|
Ujenzi upo hatua ya kumwaga jamvi kwa madarasa ya awali na kufunga linta kwa madarasa ya ukarabati
|
5
|
170,100,000.00
|
170,100,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
22.8.2025
|
30.11.2025
|
|
| 33
|
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi Igunga
|
Ujenzi upo hatua ya jamvi
|
5
|
88,000,000.00
|
88,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
-
|
-
|
|
| 34
|
Ujenzi wa Madarasa 2 E/Maalum na Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi Pomerini
|
Ujenzi upo hatua ya kujenga msingi.
|
5
|
63,000,000.00
|
63,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
|
|
|
| 35
|
Ujenzi wa Shule Mpya ya Elimu ya Awali na Msingi ya Mkondo Mmoja ktk Eneo La Shule ya Sekondari Kitowo
|
Ujenzi upo hatua ya usafishaji wa eneo la ujenzi na manunuzi
|
5
|
329,500,000.00
|
329,500,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
-
|
-
|
|
| 36
|
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Mwangaza
|
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na mshimo ya majitaka na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi
|
5
|
157,100,000.00
|
157,100,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
-
|
-
|
|
| 37
|
Ujenzi wa Madarasa 2 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Ilawa
|
Ujenzi upo hatua ya kujenga msingi
|
5
|
132,100,000.00
|
132,100,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
-
|
-
|
|
| 38
|
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Malendi
|
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi na manunuzi
|
5
|
157,100,000.00
|
157,100,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
-
|
-
|
|
| 39
|
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 12 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Kidika
|
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi na manunuzi
|
5
|
169,100,000.00
|
169,100,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
-
|
-
|
|
| 40
|
Ujenzi wa Madarasa 4, Matundu 13 ya Vyoo E/Msingi Shule ya msingi Kidilo
|
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na mashimo ya maji taka na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi ( tofali na mawe)
|
5
|
127,000,000.00
|
127,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
BOOST
|
-
|
-
|
|
|
JUMLA |
|
3,230,086,243.25
|
285,954,799.72
|
|
|
|
|
|
|||
C. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2025/26 ILIYOPELEKEWA FEDHA MWEZI SEPTEMBA
| Na
|
Jina la mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya fedha
|
Chanzo cha fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya kukamilisha mradi
|
Changamoto/ Maoni
|
| 1.
|
Ukamilishaji wa madarasa 2 shule ya msingi Igunda
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
25,000,000.00
|
25,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Serikali Kuu
|
|
|
|
| 2.
|
Ukamilishaji wa madarasa 2 shule ya msingi Mbigili
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
25,000,000.00
|
25,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Serikali Kuu
|
|
|
|
| 3.
|
Ukamilishaji wa maadarasa 2 shule ya Msingi Ng’osi
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
24,500,000.00
|
24,500,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
| 4.
|
Ukamilishaji wa madarasa 2 shule ya msingi Kitumbuka
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
20,250,000.00
|
20,250,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
| 5.
|
Ukamilishaji wa darasa 1 shule ya msingi Umoja
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
11,500,000.00
|
11,500,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
| 6.
|
Ukamilishaji wa madarasa 2 shule ya msingi Isagwa
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
20,500,000.00
|
20,500,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
| 7.
|
Ukamilishaji wa madarasa 2 shule ya msingi Nyanzwa
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
12,250,000.00
|
12,250,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
| JUMLA
|
|
139,000,000.00
|
139,000,000.00
|
0.00
|
|
|
|
|
|
||
2. ELIMU SEKONDARI
A. MIRADI ILIYOKAMILIKA
| Na
|
Jina la mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30, Septemba 2025
|
Fedha iliyotumika hadi 30, Septemba 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya fedha
|
Chanzo cha fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya kukamilisha mradi
|
Changamoto/Maoni
|
| 1.
|
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo katika shule ya sekondari Ibumu
|
Ujenzi umekamilika
|
100
|
12,000,000.00
|
12,000,000.00
|
11,600,500.00
|
2024/2025
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
| 2.
|
Ujenzi wa matundu 12 ya vyoo shule ya sekondari makwema
|
Ujenzi wa vyoo matundu 12 umekamilika
|
100
|
16,000,000.00
|
16,000,000.00
|
6,550,000.00
|
2024/2025
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
|
Jumla |
28,000,000.00
|
28,000,000.00
|
18,150,500.00
|
|
|
|
|
|
|||
B. MIRADI ILIYOMALIZA FEDHA ZA UTEKELEZAJI NA MIRADI HAIJAKAMILIKA.
| Na
|
Jina la mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30, Septemba 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30, Septemba2025
|
Mwaka wa mapokezi ya fedha
|
Chanzo cha fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya kukamilisha mradi
|
Changamoto/Maoni
|
| 1
|
Ukamilishaji ujenzi wa bwalo la chakula katika shule ya sekondari ya wasichana Lugalo
|
Ujenzi wa bwalo upo hatua ya kufunga mifumo yam aji
Mabweni bado milango |
89
|
600,000,000.00
|
600,000,000.00
|
588,733,520.00
|
2024/2025
|
SEQUIP na Mapato ya ndani
|
16.9.2024
|
30.7.2025
|
Kiasi cha Tsh.152,737,360.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha mradi
|
| 2
|
Ujenzi wa miundombinu mipya ya shule ya sekondari ya wasichana Lugalo
|
Ujenzi wa madarasa 10 na nyumba 3 za walimu zimekamilikJengo la Tehama, na Maktaba umekamilika, Ujenzi wa mabweni 4 upo hatua ya ukamilishaji ( (ufungaji wa milango),
|
96
|
1,100,000,000.00
|
1,100,000,000.00
|
1,099,718,454.00
|
2023/24
|
SEQUIP
|
16.9.2024 1.10.2024
|
30.6.2025
|
Kiasi cha Tsh. 51,740,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha mradi
|
| 3
|
Ujenzi wa shule mpya sekondari ya Kipaduka
|
Ujenzi wa madarasa 8 na ofisi, jengo la utawala, na vyoo matundu 8 ujenzi umekamilika, Ujenzi wa jengo la Tehama na Maktaba , majengo ya maabara ya kemia na biolojia hatua ya ukamilishaji(kuweka tiles, mifumo ya maji na gasi, kuweka milango), jengo la maabara ya fizikia hatua ya kuezeka na ujenzi wa vyoo matundu 4 ya walimu yapo hatua ya ukamilishaji(kufunga milango) na ujenzi wa kichomea taka kimoja kimejengwa na kingine kinaendelea na tanki la ardhini upo hatua ya maandalizi
|
87
|
583,180,028.00
|
583,180,028.00
|
572,436,252.8
|
2023/24
|
SEQUIP
|
14.9.2024
|
28.2.2025
|
Kiasi cha Tsh. 85,296,510.92 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha
|
| 4
|
Ujenzi wa miundombinu mipya ya shule ya sekondari Kilolo
|
Ujenzi wa mabweni 2 hatua ya ukamilishaji, bweni la wasichana hatua ya skimming, kuweka fremu za milango na topu zake na mfumo wa maji taka, bweni la wavulana hatua ya kufunga fremu za milango na topu zake na mfumo wa maji taka, vyumba 4 vya madarasa hatua ya kuweka umeme na matundu 8 ya vyoo yapo hatua ya uwekaji wa mageti
|
94
|
376,000,000.00
|
376,000,000.00
|
370,487,076.60
|
2023/24
|
SEQUIP
|
05.09.2024
|
20.10.202
|
Kiasi cha Tsh. 49,160,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha
|
| 5
|
Ujenzi wa miundombinu mipya ya shule ya sekondari Ifingo
|
Ujenzi wa madarasa 4 na nyumba 1 ya mwalimu ipo hatua ya ukamilishaji kufunga milango, Ujenzi wa mabweni mawili( bweni 1 lipo hatua ya ukamilishaji kuwe(kufunga milango) na bweni la 2 lipo hatua ya kuweka lenta ya juu), na Matundu 10 ya vyoo yapo hatua ya ukamilishaji kuweka milango
|
87
|
480,000,000.00
|
480,000,000.00
|
457,163,447.58
|
2023/24
|
SEQUIP
|
07.9.2024
|
07.12.2024
muda uliongezwa hadi tarehe 30.05.2025 |
Kiasi cha Tsh.98, 139,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zinavyopatikana ili kukamilisha mradi
|
| 6
|
Ujenzi wa miundombinu mipya shule ya sekondari Lukosi (Ujenzi wa Madarasa 4, vyoo matundu 10 na mabweni 2)
|
Ujenzi wa vyumba 4 vya madarasa na matundu 10 ya vyoo umekamilika, na Ujenzi wa mabweni 2 yapo hatua ya kuweka malumalu na kupak rangi
|
88
|
380,000,000.00
|
380,000,000.00
|
277,785,075.71
|
2024/2025
|
SEQUIP
|
7.11.2024 na 16.11.2024
|
30.1.2025 na 15.07.2025
|
Kiasi cha Tsh.12,800,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zinavyopatikana ili kukamilisha mradi.
|
| 7
|
Ujenzi wa miundombinu mipya shule ya sekondari Ikokoto (madarasa 4 na ofisi 1, Jengo la utawala, Maabara ya Kemia na Baolojia na Fizikia, Vyoo matundu 8, Jengo la Tehama, Maktaba, Kichomea taka na Mnara wa tanki la maji)
|
Ujenzi wa vyumba 8 vya madarasa, Jengo la Tehama, jengo la utawala, maktaba, na vyoo matundu 10 umekamilika, na ujenzi wa maabara 3 upo hatua ya kuweka malumalu
|
99
|
583,180,028.00
|
583,180,028.00
|
561,880,669.00
|
2024/2025
|
SEQUIP
|
13.10.2024
|
10.4.2025
|
Kiasi cha Tsh 52,416,200.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha mradi.
|
| 8
|
Ujenzi wa matundu 10 ya vyoo katika shule ya sekondari Mazombe
|
Ujenzi upo hatua ya hatua ya ukamilishaji (uwekaji wa malumalu na rangi na mifumo ya maji)
|
83
|
20,000,000.00
|
20,000,000.00
|
19,973,980.00
.00 |
2024/2025
|
Mapato ya ndani
|
04.5.2025
|
4.9.2025
|
Ushiriki mdogo wa nguvu kazi za wananchi.
|
| JUMLA
|
4,122,360,056.00 |
4,122,360,056.00 |
3,948,178,475.69 |
|
|
|
|
|
|||
C.MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25 INAYOENDELEA KUTEKELEZWA
| Na
|
Jina la mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe tarehe 30 Septemba, 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya fedha
|
Chanzo cha fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya kukamilisha mradi
|
Changamoto/Maoni
|
|
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo katika shule ya sekondari Ipeta
|
Ujenzi upo hatua ya upauji
|
63
|
12,000,000.00
|
12,000,000.00
|
2,951,630.00
|
2024/2025
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
|
Ukamilishaji wa hostel ya wasichana Shule ya Sekondari ya Ipeta
|
Ujenzi upo kwenye hatua ya manunuzi
|
5
|
10,000,000.00
|
10,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
Mapato ya ndani
|
-
|
-
|
|
|
Ukamilishaji wa hostel ya wavulana Shule ya Sekondari ya Ukwega
|
Ujenzi upo hatua ya manunuzi
|
5
|
15,000,000.00
|
15,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
Mapato ya ndani
|
-
|
-
|
|
|
Ujenzi wa shule mpya ya sekondari kijiji cha Itonya
|
Taratibu za manunuzi
|
5
|
583,180,028.00
|
583,180,028.00
|
0.00
|
2024/2025
|
SEQUIP
|
|
|
|
|
Ujenzi wa vyoo matundu 5 shule ya sekondari Ng’ang’ange
|
Ujenzi wa vyoo upo hatua ya ukamilishaji (bado uwekaji wa malumalu,rangi na kupachika masinki)
|
85
|
10,500,000.00
|
10,500,000.00
|
8,138,000.00
|
2024/2025
|
SEQUIP
|
04.082025
|
03.09.2025
|
|
|
JUMLA |
|
630,680,028.00
|
630,680,028
|
11,089,630.00 |
|
|
|
|
|
||
D. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2025/26 ILIYOPELEKEWA FEDHA MWEZI SEPTEMBA
| Na
|
Jina la mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya fedha
|
Chanzo cha fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya kukamilisha mradi
|
Changamoto/ Maoni
|
| 1.
|
Ujenzi wa chumba 1 cha darasa shule ya Sekondari Irima
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
20,000,000.00
|
20,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
| 2.
|
Ujenzi wa chumba 1 cha darasa shule ya Sekondari Ng’ang’ange
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
20,000,000.00
|
20,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Serikali Kuu
|
|
|
|
| 3.
|
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo shule ya Sekondari Selebu
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
12,000,000.00
|
12,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
| 4.
|
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo shule ya Sekondari Irole
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
12,000,000.00
|
12,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
| 5.
|
Ujenzi wa matundu 10 ya vyoo shule ya Sekondari Uhambingeto
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
20,000,000.00
|
20,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
| 6.
|
Ukamilishaji wa ujenzi wa Bweni shule ya Sekondari Kiheka
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
20,000,000.00
|
20,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
| 7.
|
Ukamilishaji wa maabara 1 shule ya Sekondari Ifingo
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
30,000,000.00
|
30,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Serikali Kuu
|
|
|
|
| 8.
|
Ukamilishaji wa maabara 2 shule ya Sekondari Nyanzwa
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
30,000,000.00
|
30,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Serikali Kuu
|
|
|
|
| JUMLA
|
|
164,000,000.00
|
164,000,000.00
|
0.00
|
|
|
|
|
|
||
3. AFYA
MIRADI ILIYOKAMILIKA
| Na
|
Jina la Mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
|
Chanzo cha Fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya Kukamilisha mradi
|
Changamoto/Maoni
|
| 1.
|
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika zahanati ya Lyasa Image
|
Ujenzi wa kichomea taka (1), shimo la kutupia kondo la nyuma la wazazi (1), shimo la majivu (1) na fensi kuzunguka shimo la kutupia kondo la nyuma la ujenzi umekamilika
|
100
|
22,000,000.00
|
22,000,000.00
|
19,000,000.00
|
2024/25
|
SRWSS
|
|
|
|
| 2.
|
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika zahanati ya Nyanzwa
|
Kichomea taka, shimo la kutupia kondo la nyuma na majivu imekamilika
|
90
|
19,000,000.00
|
19,000,000.00
|
18,050,000.00
|
2024/25
|
SRWSS
|
|
|
|
| JUMLA
|
|
41,000,000.00
|
41,000,000.00
|
37,050,000.00
|
|
|
|
|
|
||
MIRADI ILIYOMALIZA FEDHA ZA UTEKELEZAJI NA MIRADI HAIJAKAMILIKA
| Na
|
Jina la Mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 31 Septemba, 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe 31 Septemba, 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
|
Chanzo cha Fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya Kukamilisha mradi
|
Changamoto/Maoni
|
| 1
|
Ukamilishaji wa ujenzi wa miundombinu katika kituo cha afya nyalumbu
|
Ujenzi wa nyumba ya mtumishi (3 in 1) upo hatua ya kupaka rangi na uwekaji umeme phase 2, ufungaji mfumo wa maji,uwekaji malumalu, uwekaji wa milango na madirisha , ujenzi wa njia ya kutembelea (walk ways), jengo la wodi ya wazazi na upasuaji na jengo la kufulia limekamilika.
|
90
|
250,000,000.00
|
250,000,000.00
|
243,326,698.11
|
2024/25
|
TMCHIP
|
13.12.2024
|
30.6.2025
|
Kiasi cha Tsh. 38,000,000.00 kinahatajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zitavyopatikana
|
| 2
|
Kuwezesha ukamilishaji wa Zahanati ya Mbigili
|
Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji
|
68
|
30,000,000.00
|
30,000,000.00
|
30,000,000.00
|
2024/25
|
Mapato ya ndani
|
8.4.2025
|
23.4.2025
|
|
| JUMLA
|
|
280,000,000.00 |
280,000,000.00
|
273,326,698.11
|
|
|
|
|
|
||
MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25 INAYOENDELEA KUTEKELEZWA
| Na
|
Jina la mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30, Septemba 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30, Septemba 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya fedha
|
Chanzo cha fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya kukamilisha mradi
|
Changamoto/Maoni
|
| 1
|
Kuwezesha ujenzi wa chumba cha kufanyia uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi (CPAC) kituo cha Afya Kidabaga
|
Ujenzi wa chumba cha kufanyia uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi upo hatua ya kuta
|
35
|
18,000,000.00
|
18,000,000.00
|
5,480,000.00
|
2024/25
|
SUSSAN BUFFET THOMPSON
|
-
|
-
|
|
| 2
|
Ukarabati wa miundombinu ya kutolea huduma Zahanati ya Isagwa
|
Hatua ya manunuzi
|
5
|
50,000,000.00
|
50,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
SUSSAN BUFFET THOMPSON
|
|
|
|
| 3
|
Ukarabati wa miundombinu ya afya katika zahanati ya Mgowelo
|
Ujenzi wa mnara wa tanki, kichomea taka na Ukarabati wa chumba cha kujifungulia vimekamilika na Ujenzi wa matundu 5 ya vyoo yapo hatua ya ukamilishaji wa kuweka mlango na madirisha.
|
94
|
55,660,000.00
|
55,660,000.00
|
41,916,385.90
|
2024/2025
|
SRWSS
|
14.4.2025 ( vyoo)
24.4.2025( Mnar awa tanki) 28.4.2025 (Kichomea taka) |
21.6.2025 (Vyoo), 1.7.2025 (Mnar awa tenki) 5.7.2025( kichomea taka)
|
|
| 4
|
Ukamilishaji ujenzi wa Kituo cha Afya Ukumbi
|
Ukamilishaji wa jengo la wagonjwa wa nje ipo hatua ya ukamilishaji wa kupaka rangi
|
85
|
30,000,000.00
|
30,000,000.00
|
26,629,000.00
|
2024/25
|
Mapato ya ndani
|
|
|
|
|
|
Ujenzi wa miundombinu Kituo cha Afya Ukumbi
|
Ujenzi wa jengo la OPD na maabara upo hatua ya kuchimba msingi
|
5
|
628,102,398.00
|
628,102,398.00
|
0.00
|
2024/25
|
TIMCHIP
|
|
|
|
| 5
|
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika zahanati ya Lusinga
|
Kichomea taka, Mashimo ya kutupia kondo la nyuma na kutupia majivu vimekamilika, na ujenzi wa vyoo upo hatua ya lenta
|
83
|
58,838,421.29
|
58,838,421.29
|
39,843,623.00
|
2024/25
|
SRWSS
|
3.6.2025
|
3.9.2025
|
|
| 6
|
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika zahanati ya Mwatasi
|
Ujenzi wa kichomea taka , shimo la kondo la nyuma na shimo la kutupia majivu umekamilika
|
90
|
24,020,000.00
|
24,020,000.00
|
18,050,000.00
|
2024/2025
|
SRWSS
|
1.6.2025
|
15.7.2025
|
|
| 7
|
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika Kituo cha Afya Ruaha mbuyuni
|
Ujenzi wa shimo la kondo la nyuma na kichomea taka hatua ya ukamilishaji na ujenzi wa vyoo hatua ya msingi
|
25
|
83,200,000.00
|
83,200,000.00
|
9,000,000.00
|
2024/2025
|
SRWSS
|
|
|
|
| 8
|
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika Kituo cha Afya Ilula
|
Ujenzi wa shimo la kondo la nyuma, shimo la kutupia majivu na mnara wa tank ipo hatua ya ukamilishaji, na ujenzi wa vyoo upo hatua ya msingi, na ukarabati wa chumba cha kujifungulia upo hatua ya maandalizi.
|
25
|
81,200,000.00
|
81,200,000.00
|
12,895,000.00
|
2024/2025
|
SRWSS
|
|
|
|
| 9
|
Ukamilishaji wa ujenzi wa Zahanati ya Ibofwe
|
Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji
|
90
|
3,000,000.00
|
3,000,000.00
|
2,680,974.16
|
2024/2025
|
Mapato ya Ndani
|
|
|
|
| 10
|
Ujenzi wa kituo cha Afya Kata ya Idete
|
Ujenzi upo hatua za manunuzi
|
5
|
250,000,000.00
|
250,000,000.00
|
0.00
|
2024/2025
|
Serikali kuu
|
-
|
-
|
|
| 11
|
Ukamilishaji wa zahanati ya Kijiji cha Uhominyi
|
Ujenzi upo hatua za manunuzi
|
5
|
60,000,000.00
|
60,000,000.00
|
0.00
|
2024/2025
|
Serikali kuu
|
-
|
-
|
|
| 12
|
Ukamilishaji wa zahanati ya Kijiji cha Winome
|
Ujenzi upo hatua za manunuzi
|
5
|
60,000,000.00
|
60,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
Serikali kuu
|
-
|
-
|
|
| 13
|
Ukamilishaji wa zahanati ya Kijiji cha Imalutwa
|
Ujenzi upo hatua za manunuzi
|
5
|
60,000,000.00
|
60,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
Serikali kuu
|
-
|
-
|
|
| 14
|
Ukamilishaji wa zahanati ya Kijiji cha Nyawegete
|
Ujenzi upo hatua za manunuzi
|
5
|
60,000,000.00
|
60,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
Serikali kuu
|
-
|
-
|
|
| 15
|
Ukamilishaji wa nyumba ya mtumishi zahanati ya Kipaduka
|
Ujenzi hatua ya lenta na manunuzi
|
50
|
10,000,000.00
|
10,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
Mapato ya ndani
|
-
|
-
|
|
| JUMLA
|
|
1,573,020,819.29
|
132,756,360.06
|
|
|
|
|
|
|||
| Na
|
Jina la mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya fedha
|
Chanzo cha fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya kukamilisha mradi
|
Changamoto/ Maoni
|
| 1.
|
Ujenzi wa chumba cha kuhifadhia dawa katika Hospitali ya Wilaya ya Kilolo
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
0
|
130,000,000.00
|
130,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Serikali Kuu
|
|
|
|
|
JUMLA |
|
130,000,000.00
|
130,000,000.00
|
0.00
|
|
|
|
|
|
||
D. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2025/26 ILIYOPELEKEWA FEDHA MWEZI SEPTEMBA
UTAWALA
A. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25 INAYOENDELEA KUTEKELEZWA
| Na
|
Jina la Mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
|
Chanzo cha Fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya Kukamilisha mradi
|
Changamoto/Maoni
|
| 1
|
Ujenzi wa nyumba 2 za wakuu wa idara
|
Taratibu za manunuzi
|
5
|
160,000,000.00
|
160,000,000.00
|
0.00
|
2024/25
|
Serikali Kuu
|
-
|
-
|
|
| JUMLA
|
160,000,000.00
|
160,000,000.00
|
0.00
|
|
|
|
|
|
|||
B. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2025/26 ILIYOPELEKEWA FEDHA MWEZI SEPTEMBA
| Na
|
Jina la mradi
|
Utekelezaji
|
%
|
Bajeti idhinishwa
|
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
|
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
|
Chanzo cha fedha
|
Tarehe ya kuanza mradi
|
Tarehe ya kukamilisha mradi
|
Changamoto/ Maoni
|
| 1.
|
Ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji (W)
|
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
|
|
100,000,000.00
|
100,000,000.00
|
0.00
|
2025/26
|
Serikali Kuu
|
|
|
|
| Jumla
|
100,000,000.00
|
100,000,000.00
|
0.00
|
|
|
|
|
|
|||
Chanzo: Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, 2025
Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya
Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo
Simu ya mezani: 0262968010
Mobile:
Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz
Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa