• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WASHUGHULIKIENI WANAOCHOMA MISITU

Posted on: October 30th, 2024


Mwenyekiti wa Kamati  ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo Mhe. Rahman Mkakata, ameongoza kikao cha Kamati hiyo leo tarehe 30-10-2024 katika ukumbi wa Halmashauri kwa lengo la kufuatilia utekelezaji wa shughuli za kimaendeleo zinazotekelezwa katika kipindi cha Robo ya Kwanza kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kilicho anza Julai hadi Septemba 2024.

Mhe. Rahman alihoji tabia ya watu wanaochoma misitu/mapori  kwa nadharia wanasafisha mashamba  na kupelekea kusababisha uharibifu mkubwa kutokuchukuliwa hatua za haraka ili kukomesha tabia hiyo ovu.

“kuna watu wao kazi yao ni kuanzisha moto katika mapori/misitu na kufanya uharibifu mkubwa unaoleta hasara lakini cha kushangaza hawachukuliwi hatua zozote ilihali tunawafahamu.”

Hoja hiyo iliungwa mkono na Mhe. Rashid Nzelemela ambaye ni diwani wa Kata ya Ruaha Mbuyuni, ambapo alieleza jinsi uharibifu mkubwa unavyofanywa kwenye misitu na kuharibu uoto wa asili, nyara za serikali pamoja na wanyama mbalimbali.

“mapori yanachomwa na wahusika wapo wanaonekana katika maeneo yetu tunayoshinda lakini hatuoni hatua zozote zikichukuliwa dhidi yao, hii siyo sawa naomba wote wakamatwe na sheria ichukue mkondo wake.”

Aidha alitoa rai kwa mamlaka husika kuhakisha wanakua na utaratibu mzuri wa kuilinda misitu na

hiyo ni pamoja na kuwachukulia hatua kali kabisa kwa wale watakaobainika. 

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Kuitwa usaili wakusanya mapato October 16, 2024
  • KUITWA KAZINI October 29, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 WARIDHIA MIRADI YOTE KILOLO DC

    April 30, 2025
  • WILAYA YA KILOLO KUFANYA MAONYESHO MAKUBWA YA BIASHARA, KILIMO NA VIWANDA

    April 16, 2025
  • MAFUNZO ELEKEZI KWA AJILI YA USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA NA VIJIJI.

    January 14, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI (WASIMAMIZI) NGAZI YA JIMBO KILOLO YATAMATIKA

    December 20, 2024
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa