IDARA YA MIFUGO NA UVUVI
Idara ya Mifugo na Uvuvi ni sekta ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo inayojishughulisha na uendelezaji wa wanyama, jamii ya ndege wafugwao na samaki. Lengo kuu likiwa ni kuongeza na kuboresha uzalishaji wa Mifugo na mazao yake, sambamba na upatikanaji wa samaki kutoka ziwani na kwenye mabwawa ya kufugia samaki ili kuboresha lishe ya jamii na kutoa mchango katika kuinua uchumi wa jamii na Taifa kwa ujumla.
ENEO LAKUFUGIA
Sehemu kubwa ya eneo la Halmashauri ya Mji lina malisho hivyo linaruhusu ufugaji wa aina mbalimbali ya mifugo.Karibu asilimia 60 ya eneo hili inatumika kufugia isipokuwa kwenye maeneo ya makazi.
MIFUGO ILIYOPO
| Kata
|
Ng’ombe
|
mbuzi
|
kondoo
|
nguruwe
|
paka
|
poutry |
|
mbwa
|
punda
|
| Image |
6408 |
2952 |
980 |
2432 |
- |
17600 |
|
|
542 |
| Irole |
46580 |
2255 |
944 |
1028 |
102 |
25175 |
|
682 |
36 |
| Ilula |
906 |
764 |
418 |
305 |
162 |
6070 |
|
546 |
36
|
| Uhambingeto |
7040 |
3500 |
200 |
1150 |
28 |
20480 |
|
13 |
360 |
| Udekwa |
340 |
785 |
80 |
346 |
64 |
12864 |
|
87 |
42 |
| Mahenge |
8327 |
7890 |
1930 |
407 |
75 |
17213 |
|
47 |
78 |
| Mtitu |
3755 |
977 |
68 |
1170 |
- |
29371 |
|
418 |
20 |
| Dabaga |
380 |
336 |
67 |
- |
2910 |
21880 |
|
79 |
02 |
| Ukumbi |
7,800 |
440 |
346 |
62 |
2381 |
34992 |
|
132 |
52 |
| Ukwega |
283 |
517 |
212 |
1800 |
21 |
17670 |
|
97 |
0 |
| Boma la ng'ombe |
438 |
171 |
36 |
3624 |
34 |
22168 |
|
56 |
03 |
| Idete |
35 |
115 |
26 |
760 |
23 |
8944 |
|
43 |
02 |
| Masisiwe |
75 |
184 |
12 |
2928 |
4 |
16408 |
|
7 |
10 |
| Ng'uruhe |
4397 |
706 |
349 |
1206 |
46 |
14135 |
|
123 |
09 |
| Ng'ang'annge |
145 |
60 |
0 |
2042 |
31 |
12033 |
|
91 |
0 |
| Ihimbo |
2585 |
531 |
750 |
4740 |
- |
16371 |
|
16 |
12 |
| Lugalo |
3264 |
1610 |
339 |
451 |
7 |
24175 |
|
85 |
48 |
| Nyalumbu |
1272 |
1012 |
224 |
378 |
12 |
2406 |
|
81 |
135
|
| Mlafu
|
195 |
268 |
71 |
250 |
66 |
9785 |
|
70 |
22 |
| Ibumu
|
5504 |
3520 |
1400 |
20660 |
31 |
14532 |
|
86 |
700 |
| Ruaha Mbuyuni |
4178 |
4780 |
1140 |
242 |
|
13664 |
|
|
28
|
Kimala 15 671 53 1137 7934 0
Total 63922 3444 9645 34347 365872 2137
Wanyama na ndege wengine wanaofugwa ni sungura, njiwa, bata mzinga, bata bukini na kanga hawa wanafugwa kwa kiwango kidogo sana ndani ya Halmshauri ya Wilaya ya Kilolo.
SHUGHULI ZINAZOTEKELEZWA NA IDARA YA MIFUGO/UVUVI
Eneo linalostahili kwa malisho na ufugaji kwa ujumla ni Hekta za mraba 71,874. Eneo hili linatumika pia kwa kilimo kwani hakuna eneo lililotengwa rasmi kwa ufugaji.
UVUNAJI WA MIFUGO
Mikakati tuliyonayo ni kuhakikisha kuwa Halmashauri inakuwa na ufugaji wenye tija katika kujenga uchumi wa jamii na Taifa kwa ujumla.
Shughuli kuu iliyoko kwa sasa ni zoezi la utambuzi na uvishaji wa hereni kwa mifugo (ng’ombe).
Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya
Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo
Simu ya mezani: 0262968010
Mobile:
Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz
Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa