• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA WAPEWA MAFUNZO YA MPANGO NA BAJETI

Posted on: November 28th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo imeendesha mafunzo ya maandalizi ya Mpango na Bajeti na mafunzo ya mfumo wa FFARS uliyoboreshwa (e-FFARS) kwa Watendaji wa Kata 24 na Vijiji 110.

Mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Idara ya Mipango na Uratibu kwa kushirikiana na kitengo cha Fedha na Uhasibu, yametolewa kwa siku mbili mfululizo kuanzia tarehe 26 – 27 Oktoba, 2025 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya kilolo na ukumbi wa shule ya Sekondari Ilula ambapo walifundishwa kuhusiana na mfumo wa FFARS ulioboreshwa na uandaaji wa Mpango na Bajeti.

Aidha akifungua mafunzo hayo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo Dkt. John Mwingira amewaasa washiriki kutilia maanani mafunzo hayo kwakua ni muhimu sana, kwani kwa kufanya hivyo itawasaidia kukamilisha kwa wakati Mpango na Bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/2027.

Wakati huohuo Dkt. Mwingira aliwasisitizia washiriki wa mafunzo hayo kuwa na bajeti shirikishi kwa wananchi kwenye maeneo yao kwa kuzingatia vipaumbele ili shughuli zitakazotekelezwa zilete matokeo chanya kwa jamii yote kwa ujumla.

Katika mafunzo hayo Washiriki walipata nafasi ya kuelekezwa kuwa katika  mfumo wa FFARS maboresho yamefanyika, na kushauriwa kuzingatia maelekezo yanayotolewa kwa vitu vya msingi ili kuendana na mfumo huo.





Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 September 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA June 30, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA WAPEWA MAFUNZO YA MPANGO NA BAJETI

    November 28, 2025
  • VIKUNDI 104 VYANUFAIKA NA MIKOPO YA BILIONI MOJA NA ZAIDI.

    October 24, 2025
  • SHIRIKISHO LA UHIFADHI WA MAZINGIRA ASILIA (IUCN) LAFIKA KILOLO

    October 07, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI 48 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO, KILOLO

    August 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa