• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

VIKUNDI 104 VYANUFAIKA NA MIKOPO YA BILIONI MOJA NA ZAIDI.

Posted on: October 24th, 2025

Uzinduzi wa utoaji mikopo ya asilimia kumi (10%) umefanyika Oktoba 24, 2025 katika ukumbi uliopo mji mdogo wa Ilula na kualika wadau mbalimbali kuja kushuhudia tukio hilo.

Mchakato wa utoaji wa mikopo kwa vikundi vya Wanawake, Vijana, na Watu wenye Ulemavu katika halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, ulianza mwezi Septemba 2024 baada ya Serikali kutangaza rasmi kurejesha mikopo kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na watu wenye Ulemavu.

Halmashauri ya Wilaya ya kilolo imetoa mikopo yenye thamani ya Tshs. 1,074,650,946/= kwa vikundi 104, kati ya hivyo vikundi vya Wanawake ni 60 vyenye jumla ya Tshs. 641,098,646/=, Vijana vikundi 34 vyenye jumla ya Tshs. 403,463,500/= na watu wenye Ulemavu vikundi 10 vyenye jumla ya Tshs. 30,088,800/=.  Jumla ya wanachi 532 wamenufaika na mikopo hiyo wakiwemo; Wanawake 330, Vijana (KE 72 na ME 118) na watu wenye Ulemavu 16 (KE 6 na ME 10).

Akiongea katika uzinduzi  huo Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Mhe. Estomin Kyando ambaye ndiye alikua mgeni rasmi katika tukio hilo amesema, “ mikopo hii mkaitumie vizuri kwa malengo mliojiwekea na kurejesha kwa wakati ili vikundi vingine wapate nafasi ya kuomba na wao.”

Aidha Mhe. Kyando amepongeza kamati ya mikopo kwani wamechakata vikundi kwa haki na kwa usawa, na kuwasihi viongozi wa halmashauri kuepuka kujiingiza katika mikopo hiyo.

Mhe. Kyando amewasisitizia wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya tarehe 29 Oktoba, 2025 ili kupiga kura ya Rais, Wabunge na Madiwani.

Naye afisa maendeleo wa halmashauri ya Wilaya ya Kilolo amewaasa wanufaika wa mikopo hiyo kutumia vizuri ili wajiongezee kipato na kukidhi mahitaji yao muhimu ili ilete tija kwao, familia zao na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 September 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA June 30, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 104 VYANUFAIKA NA MIKOPO YA BILIONI MOJA NA ZAIDI.

    October 24, 2025
  • SHIRIKISHO LA UHIFADHI WA MAZINGIRA ASILIA (IUCN) LAFIKA KILOLO

    October 07, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI 48 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO, KILOLO

    August 04, 2025
  • DAS - AIPOKEA UCSAF KILOLO

    July 24, 2025
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa