• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Ufugaji Nyuki

HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA UFUGAJI NYUKI 2024/2025

UTANGULIZI

Ufugaji nyuki ni shughuli ya kufuga nyuki kwajili ya kupata mazao yatokanayo na nyuki kama vile asali,nta,maziwa ya malkia,sumu nyuki,gundi ya nyuki. Aidha ufugaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo umesaidia kukuza kipato cha jamii kwa kuuza mazao yanapatikana kutokana na ufugaji nyuki. Zaidi ya kukuza kipato cha jamii ufugaji nyuki unasaidia katika utunzaji wa mazingira na uchavushaji wa mimea.

SHUGHULI ZILIZOTEKELEZWA

Katika kipindi cha miaka mitano (05) tumetekeleza mambo yafuatayo katika mambo ya ufugaji nyuki

  1. Kuunda vikundi vya ufugaji nyuki katika halmashuri ya wilaya ya kilolo
  2. Kutoa mafunzo kwa vikundi vya ufugaji nyuki
  3. Kuwatafutia masoko ya mazao ya nyuki wafugaji

KUUNDA VIKUNDI VYA UFUGAJI NYUKI

Katika kipindi cha miaka mitano 2020/21 hadi 2024/25 shughuli za uundaji wa vikundi vya ufugaji nyuki ilifanyika ambapo jumla ya vikundi 33 viliundwa vyenye idadi ya wanachama 828 na idadi ya mizinga 2063. Wafugaji walipewa vifaa kama mizinga na mavazi ili kuwasaidia katika shughuli za ufugaji nyuki.

Ifuatayo ni orodha ya wafugaji nyuki na idadi ya mizinga

SN
JINA LA KIKUNDI/MFUGAJI/WAFUGAJI
SEHEMU (KIJIJI)
IDADI YA WANACHAMA/WAFUGAJI
IDADI YA MIZINGA
1
NEEMA
Makungu
32
100
2
UWANYUI
Ilula
30
150
3
CHAWANIKO
Ikokoto
30
20

4
KIWANYUKI
Kilolo
30
200

5
UHURU
Mkalanga
15
70

6
KIWANYUI
Ikokoto
20
40

7
MKOMBOZI
Masalali
15
15

8
TAMTAM
Mgowelo
30
25

9
UPENDO
Msosa
31
30

10
TWILUMBA
Kimala
21
51

11
PAMBAZUKO
Kimala
20
41

12
UNYUMIKI
Kising’a
30
41

13
MWINOME
Isagwa
30
30

14
SELEBU
Ibumu
30
30

15
UPENDO
Ruahambuyuni
32
30

16
KISATA
Ibumu
30
15

17
MKWILA
Magana
30
24

18
TUSONGEMBELE
Mlafu
30
30

19
TUPENDANE
Kipaduka
30
15

20
CHAWANI
Ilambo
15
30

21
CHAWNIRI
Irindi
15
30

22
CHAWAMA
Mahenge
15
75

23
MUUNGANO
Wotalisoli
10
120

24
Acacia Group
Kitelewasi
5
400

25
Kikundi 2
Mwatasi
30
37

26
Vikundi 2
Mbawi
45
50

27
Vikundi
Ng’ingula
30
50

28
Kikundi 1
Nyawegete
15
37

29
Kikundi 1
Masisiwe
30
50

30
Umoja wa Wanawake Kilolo
Kilolo
30
30

31
Steven Ndenga – Kikundi
Utengule
15
25

32
Kikundi cha vijana Degula wuki
Ilambo
6
121

33
UMOJA
Ilambo
51
51

JUMLA
828
2063








 

KUTOA MAFUNZO KWA VIKUNDI VYA UFUGAJI NYUKI

Katika miaka mitano tumefanikiwa kutoa mafunzo ya ufugaji nyukia katika vikundi 33, vyenye idadi ya wanachama 828. Mafunzo yaliyotolewa ni kama vile uanzishaji wa manzuki, uvunanji wa kisasa wa mazao ya nyuki, uchakataji wa mazao ya nyuki na kuongeza thamani kwenye mazao ya nyuki kwa kutengeneza wine, mafuta,kutengeneza vifungashio vya kisasa.

TAKWIMU ZA ASALI NA NTA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO

S/N
MWAKA
ASALI (tani)
NTA (tani)
1
2020/21
38.996
2.246
2
2021/22
30.915
2.157
3
2022/23
42.900
2.151
4
2023/24
46.917
2.172
5
2024/25
58.767
2.214

KUWATAFUTIA MASOKO YA MAZAO YA NYUKI WAFUGAJI 

Wafugaji nyuki wanakabiliwa na changamoto ya uhakika wa masoko licha ya kuwa na bidhaa bora kama vile asali na nta. Halmashauri ya Wilaya ya Killolo kipindi cha miaka mitano (5) tumefanikiwa kuwatafutia masoko wafugaji nyuki na kuwakutanisha na wadau mbalimbali.

Aidha Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo imefanikisha wafugaji nyuki kushiriki katika maonyesho yanayoadhimishwa kila tarehe 8 mwezi wa 8 (nane nane) ili kuonesha mchango wao katika maendeleo ya sekta ya nyuki na kukuza kipato cha wafugaji nyuki.

                                                                       

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 September 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA June 30, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 104 VYANUFAIKA NA MIKOPO YA BILIONI MOJA NA ZAIDI.

    October 24, 2025
  • SHIRIKISHO LA UHIFADHI WA MAZINGIRA ASILIA (IUCN) LAFIKA KILOLO

    October 07, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI 48 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO, KILOLO

    August 04, 2025
  • DAS - AIPOKEA UCSAF KILOLO

    July 24, 2025
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa