• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Itakayotekelezwa

A. MIRADI ILIYOMALIZA FEDHA ZA UTEKELEZAJI NA MIRADI HAIJAKAMILIKA

Na
Jina la Mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha Fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya Kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1
Ujenzi wa shule mpya ya mkondo mmoja kijiji cha mtandika shule ya msingi Kidika – Kichangani
Ujenzi wa vyoo matundu 6 umekamilika, Ujenzi wa madarasa 9 na jengo la utawala 1 upo hatua ya ukamilishaji (kufunga vioo kwenye vent za milango), na matundu 10 ya vyoo ujenzi umekamilika
98
350,500,000.00
350,500,000.00
347,481,646.58
2023/24
BOOST
21.09.2024
05.9.2025
Kiasi cha Tsh.15,820,000.00 Kinahitajika ili kununua samani na bembea hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zinavyopatikana ili kununua samani
2
Ujenzi wa shule mpya ya mkondo mmoja kijiji cha Uhambingeto shule ya msingi Msombwe -Uhambingeto
Ujenzi wa jengo 1 la utawala, vyoo matundu 16 umekamilika na madarasa 9 ujenzi umekamilika bado hatua ya uwekaji wa madawati.
97
350,500,000.00
350,500,000.00
348,599,127.99
2023/24
BOOST
11.9.2024
19.4.2025
Kiasi cha Tsh.17,020,000.00 Kinahitajika ili kununua samani na bembea hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri  zinavyopatikana ili kununua samani
Jumla
 
701,000,000.00 
701,000,000.00 
696,080,774.57 
 
 
 
 
 

MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25 INAYOENDELEA KUTEKELEZWA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha Fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/ Maoni
1
Ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa na ofisi 1  katika shule ya msingi Mayoka
Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji (ufungaji wa milango na madirisha.
78
25,000,000.00
25,000,000.00
20,287,874.14
2024/2025
Mapato ya ndani
01.7.2025
30.9.2025

2
Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Iyanika
Ujenzi  upo hatua za manunuzi
5
25,000,000.00
25,000,000.00
0.00
2024/2025
Mapato ya ndani
-
-
Mzabuni wa madini ujenzi hajapatikana
3
Ukamilishaji wa darasa 1 shule ya msingi Wotalisoli
Ujenzi upo hatua ya utangazaji wa zabuni za kupata mafundi na wafanyabiashara wa vifaa vya viwandani na madini ujenzi.
5
12,000,000.00
12,000,000.00
0.00
2024/25
Mapato ya ndani
-
-
Wazabuni bado hawapatikana
4
Ujenzi wa darasa 1 shule ya msingi Malendi
Ujenzi upo hatua ya
lenta
62
25,000,000.00
25,000,000.00
1,912,500.00
2024/2025
Mapato ya ndani
01.9.2025
29.11.2025

5
Ujenzi wa darasa 1 shule ya msingi Kidika
Ujenzi  upo hatua ya msingi
5
25,000,000.00
25,000,000.00
0.00
2024/2025
Mapato ya ndani
-
-
Mzabuni wa vifaa vya viwandani hajapatikana
6
Ujenzi wa madarasa 2 na ofisi kituo shikizi Muungano
Ujenzi upo hatua ya kupaua
64
16,000,000.00
16,000,000.00
14,958,950.00
2024/2025
Mapato ya ndani
24.6.2025
26.7.206525
Bati 20 zinahitajika kukamilisha
7
Ujenzi wa vyoo matundu 14 shule ya msingi Mgowelo
Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji wa  uwekaji wa malumalu na ufungaji wa mfumo wa maji safi na taka.
87
40,250,000.00
40,250,000.00
32,196,400.00
2024/2025
SRWSS
01.04.2025
31.07.2025

8
Ujenzi wa vyoo matundu 13 shule ya msingi Mtakuja
Ujenzi upo katika hatua za ukamilishaji wa kupaka rangi, na uwekaji wa malumalu
82
38,250,000.00
38,250,000.00
32,706,000.00
2024/2025
SRWSS
21.06.2025
18.09.2025

9
Ujenzi wa vyoo matundu 24 shule ya msingi Itungi
Ujenzi upo hatua ya Upauaji na upigaji wa lipu.
65
65,250,000.00
65,250,000.00
29,465,000.00
2024/2025
SRWSS
10.6.2025
30.9.2025

10
Ujenzi wa vyoo matundu 14 shule ya msingi Iwindi
Ujenzi upo hatua ya Upigaji wa rangi nje kwenye boma la choo cha wasichana na uwekaji wa malumalu choo cha wavulana, maboma na vyoo vya walimu ujenzi umekamilika,
87
40,250,000.00
40,250,000.00
31,656,749.72
2024/2025
SRWSS
19.6.2025
3.8.2025

11
Ujenzi wa vyoo matundu 22 shule ya msingi Ikuka
Ujenzi upo hatua ya uwekaji wa mfumo wa maji
64
57,250,000.00
57,250,000.00
21,300,000.00
2024/2025
SRWSS
14.6.2025
30.8.2025

12
Ujenzi wa vyoo matundu 17 shule ya msingi Ilambo
Ujenzi upo hatua ya Upauaji kwa vyoo vya   wavulana na walimu. Jengo la  vyoo vya wasichana lipo hatua ya kujenga kuta
69
46,636,243.25
46,636,243.25
40,339,000.00
2024/2025
SRWSS
09.7.2025
9.10.2025

13
Ujenzi wa vyoo matundu 23 shule ya msingi Winome
Ujenzi upo hatua ya upauaji kwa majengo ya vyoo vya wavulana na wasichana, ujenzi wa vyoo vya walimu upo hatua ya kuta.
Aidha mashimo ya maji taka yamejengwa na yapo hatua ya ufunikaji.
62
59,000,000.00
59,000,000.00
11,235,000.00
2024/2025
SRWSS
18.06.2025
18.10.2025

14
Ujenzi wa vyoo matundu 11 shule ya msingi Malendi
Ujenzi upo hatua ya uwekaji wa malunalu
82
34,000,000.00
34,000,000.00
18,402,800.00
2024/2025
SRWSS
28.6.2025
26.9.2025

15
Ujenzi wa vyoo matundu 26 shule ya msingi Ibofwe
Ujenzi upo hatua ya upauaji kwa vyoo vya wasichana, kwa vyoo vya wavulana na walimu ujenzi upo hatua ya linta. Mashimo ya maji taka yamekamilka kujengwa
63
61,000,000.00
61,000,000.00
45,000,000.00
2024/2025
SRWSS
05.7.2025
10.9.2025
Mzabuni wa vifaa vya viwandani kusuasua kupeleka  vifaa eneo la ujenzi.
16
Ujenzi wa nyumba 1 ya mwalimu (2 in 1)  shule ya msingi Wangama
Ujenzi upo hatua ya uchimbaji wa msingi
5
100,000,000.00
100,000,000.00
0.00
2024/2025
GPE-TSP
-
-
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
17
Ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa shule ya msingi Mayoka
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi na kutangaza tenda
6
75,000,000.00
75,000,000.00
0.00
2024/2025
GPE-TSP
-
-
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
18
Ujenzi wa vyoo matundu 10 shule ya msingi Tumaini
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na  ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi
5
22,000,000.00
22,000,000.00
0.00
2024/2025
GPE-TSP
-
-
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
19
Ujenzi wa nyumba 1 ya mwalimu shule ya msingi Ibumu
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na  ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi (mchanga, mawe, tofari na kokoto)
5
51,000,000.00
51,000,000.00
0.00
2024/2025
GPE-TSP
-
-
Mradi unasubiri hati ya msamaha wa kodi toka TRA kwa mujibu wa masharti ya mfadhili
20
Ukamilishaji wa maboma 4 ya vyumba vya   madarasa kituo shikizi cha Kwale Kata ya Ruahambuyuni
Ujenzi upo hatua ya kutangaza tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
5
50,000,000.00
50,000,000.00
0.00
2024/25
Serikali kuu
-
-

21
Ukamilishaji wa maboma matatu ya madarasa matatu kituo shikizi cha Barabara mbili Kata ya Kising'a
Ujenzi upo hatua ya kutangaza tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
5
37,500,000.00
37,500,000.00
0.00
2024/25
Serikali kuu


Utangazaji wa zabuni bado unaendelea
22
Ukamilishaji wa maboma 3 ya vyumba vya madarasa kituo shikizi cha Lugolofu Kata ya Ibumu
Ujenzi upo hatua ya kutangaza tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
5
37,500,000.00
37,500,000.00
0.00
2024/25
Serikali Kuu


Utangazaji wa zabuni bado unaendelea
23
Ujenzi wa madarasa 2 na matundu 6 ya vyoo ya mfano ya Elimu ya Awali na ukarabati wa shule ya msingi Bomalang’ombe
Ujenzi upo hatua ya ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi, usafishaji wa maeneo ya ujenzi na utangazaji wa tenda za wazabuni wa vifaa na fundi kwenye mfumo wa Nest
5
170,100,000.00
170,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST


Utangazaji wa zabuni bado unaendelea
24
Ujenzi wa Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo Elimu ya Awali na Ukarabati wa Shule ya msingi Idete
Ujenzi upo hatua ya usafishaji wa maeneo ya ujenzi na manunuzi
5
170,100,000.00
170,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST


Usafirishaji wa vifaa vya ujenzi  kutokana na ujenzi wa barabara unaoendelea daraja limeondolewa hivyo kusababisha ugumu wa kufikisha vifaa eneo la mradi.
25
Ukarabati wa shule ya Msingi Iyanika
Ujenzi upo hatua ya manunuzi
5
101,000,000.00
101,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST


Mzabuni wa madini ujenzi bado hajapatikana
26
Ukarabati wa shule ya Msingi Kimala
Ujenzi upo hatua ya manunuzi
5
101,000,000.00
101,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-
Mzabuni wa madini ujenzi bado hajapatikana
29
Ukarabati wa shule ya Msingi  Mlowa
Ujenzi upo hatua ya kupaua kwa madarasa 2 na ofisi 1
5
101,000,000.00
101,000,000.00
13,742,500.00
2024/25
BOOST
-
-

30
Ukarabati wa shule ya Msingi Ifuwa
Ujenzi upo hatua ya msingi
5
101,000,000.00
101,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-
Wazabuni hawajapatikana
31
Ujenzi wa Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo Elimu ya Msingi shule ya msingi Ibofwe
Ujenzi upo hatua ya uchimbaji wa msingi
5
63,000,000.00
63,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

32
Ujenzi wa Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo Elimu ya Awali na Ukarabati wa Shule ya msingi Kitelewasi
Ujenzi upo hatua ya kumwaga jamvi kwa madarasa ya awali na kufunga linta kwa madarasa ya ukarabati
5
170,100,000.00
170,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST
22.8.2025
30.11.2025

33
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi Igunga
Ujenzi upo hatua ya jamvi
5
88,000,000.00
88,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST
 -
-

34
Ujenzi wa Madarasa 2 E/Maalum na Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi Pomerini
Ujenzi upo hatua ya kujenga msingi.
5
63,000,000.00
63,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST



35
Ujenzi wa Shule Mpya ya Elimu ya Awali na Msingi ya Mkondo Mmoja ktk Eneo La Shule ya Sekondari Kitowo
Ujenzi upo hatua ya usafishaji wa eneo la ujenzi na manunuzi
5
329,500,000.00
329,500,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

 36
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Mwangaza
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na mshimo ya majitaka na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi
5
157,100,000.00
157,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

37
Ujenzi wa Madarasa 2 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Ilawa
Ujenzi upo hatua ya kujenga msingi
5
132,100,000.00
132,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

38
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 6 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Malendi
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi na manunuzi
5
157,100,000.00
157,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

39
Ujenzi wa Madarasa 3 Matundu 12 ya Vyoo E/Msingi, Madarasa 2 na Matundu 6 ya Vyoo E/Awali shule ya msingi Kidika
Ujenzi upo hatua ya kuchimba msingi na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi na manunuzi
5
169,100,000.00
169,100,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

40
Ujenzi wa Madarasa 4, Matundu 13 ya Vyoo E/Msingi Shule ya msingi Kidilo
Ujenzi upo hatua ya kuchimba  msingi na mashimo ya maji taka na ukusanyaji wa vifaa vya ujenzi ( tofali na  mawe)
5
127,000,000.00
127,000,000.00
0.00
2024/25
BOOST
-
-

 
JUMLA
 
3,230,086,243.25 
285,954,799.72
 
 
 
 
 

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 September 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA June 30, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 104 VYANUFAIKA NA MIKOPO YA BILIONI MOJA NA ZAIDI.

    October 24, 2025
  • SHIRIKISHO LA UHIFADHI WA MAZINGIRA ASILIA (IUCN) LAFIKA KILOLO

    October 07, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI 48 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO, KILOLO

    August 04, 2025
  • DAS - AIPOKEA UCSAF KILOLO

    July 24, 2025
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa