• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

SHIRIKISHO LA UHIFADHI WA MAZINGIRA ASILIA (IUCN) LAFIKA KILOLO

Posted on: October 7th, 2025

Kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya kilolo Dkt.  John Mwingira mapema leo tarehe 7/10/2025, amepokea ugeni kutoka shirikisho la uhifadhi wa mazingira asilia duniani (IUCN) katika ukumbi mdogo uliopo ndani ya halmashauri.

Afisa programa kutoka IUCN Bi. Sharon Kishenyi akitoa utambulisho wa shirikisho hilo mbele ya mkurugenzi na baadhi ya wakuu wa idara na vitengo, amesema shrikisho la IUCN imekuja kutambulisha mradi wa RESOLVE NbS (suluhisho) kwa ngazi ya halmashauri wakiongozana na mbia mmoja kutoka CARE.

Bi. Sharon amesema mradi huo wa Resolve NbS (Suluhisho) ni mradi wa uhifadhi wa mazingira  kwa njia asilia, ambapo kwa Wilaya ya Kilolo vijiji vinne(4) ambavyo ni Mlafu,Isagwa, Mkalanga na Wotalisoli vitanufaika na mpango huo.

kwa upande wake Ndg. Abdulaziz Mkwizu (afisa programa wa IUCN) akiwasilisha utekelezaji wa mradi, amesema mradi huo wa suluhisho utakua wa miaka mitatu (2025/2027) ambapo kwa sasa wameanza na mikoa miwili ya Morogoro na Iringa huku ikihusisha Wilaya tano ambazo ni Ifakara, Mlimba, Morogoro vijijini, Iringa vijijini na Kilolo.

Aidha Ndg. Abdulaziz ameelezea mradi huo utajikita zaidi katika shughuli mbalimbali baadhi zikiwemo, kuboresha mipango ya matumizi bora ya ardhi, kurejesha ikolojia za misitu, ardhi na mito zilizoharibiwa, uwezo ya mifumo ya jamii katika kuweka na kukopa(VSLA),kuhamasisha jamii juu ya kilimo mseto na bayonuai, kuboresha mifumo ya uuzaji wa mazao kwa kutumia vyama vya ushirika(AMCOS) n.k.

Wakati huohuo amesisitiza kuwa lengo kuu la mradi huo ni kuimarisha ustahimilivu wa watu na rasilimali dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi kwa kutumia masuluhisho asilia, na utekelezaji wa miradi hio ili iweze kufanikiwa zaidi watashirikiana na wabia wengine kutoka CARE, WWF, EAMCEF, CAN na CEOrT.

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 September 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA June 30, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 104 VYANUFAIKA NA MIKOPO YA BILIONI MOJA NA ZAIDI.

    October 24, 2025
  • SHIRIKISHO LA UHIFADHI WA MAZINGIRA ASILIA (IUCN) LAFIKA KILOLO

    October 07, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI 48 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO, KILOLO

    August 04, 2025
  • DAS - AIPOKEA UCSAF KILOLO

    July 24, 2025
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa