• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WASIMAMIZI WASAIDIZI 48 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO, KILOLO

Posted on: August 4th, 2025

Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata Jimbo la Kilolo wameanza kupata mafunzo ya siku tatu kwa ajili ya kujiandaa na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.

Akifungua mafunzo hayo Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kilolo Bi. Kemilembe Kafanabo amewaasa washiriki wa mafunzo hayo kusoma vizuri na kuzielewa sheria, katiba, kanuni na miongozo mbalimbali pamoja na maelekezo yatakayokuwa yanatolewa na Tume.

“hakikisheni mnakua wazalendo katika hii kazi, jitahidini sana kuyaelewa majukumu yenu vizuri kwa kusoma sheria, katiba, kanuni na miongozo mbalimbali itakayokua inatolewa na Tume ili muwe na mpangilio mzuri ambao utasaidia kuruhusu uchaguzi kufanyika kwa haki, utulivu na amani.” Amesema Kemilembe

Mafunzo hayo yamejumuisha washiriki 48 kutoka kata zote 24 za Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, ambapo kwa siku ya kwanza jumla ya mada 4 zimewasilishwa ambazo ni; majukumu ya watendaji wa uchaguzi, maadili na kampeni za uchaguzi,wajibu na majukumu ya watendaji wa vituo na utambulisho wa mawakala wa vyama vya siasa na uteuzi wa wagombea

Uchaguzi Mkuu wa Rais , Wabunge na Madiwani unatarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 ambapo zaidi ya watu Milioni 30 waliojiandikisha wanatarajiwa kupiga kura siku hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA June 30, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Kuitwa usaili wakusanya mapato October 16, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI 48 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO, KILOLO

    August 04, 2025
  • DAS - AIPOKEA UCSAF KILOLO

    July 24, 2025
  • WAHANDISI MSHINDE SITE NA MAFUNDI - DC KYANDO

    July 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WARIDHIA MIRADI YOTE KILOLO DC

    April 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa