• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Iliyokamilika

                                                                      HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO

KIAMBATA Na. 1: TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO HADI KUFIKIA MWEZI SEPTEMBA, 2025.

 

2. ELIMU SEKONDARI

A. MIRADI ILIYOKAMILIKA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30, Septemba 2025
Fedha iliyotumika hadi 30, Septemba 2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1.
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo katika shule ya sekondari Ibumu
Ujenzi umekamilika
100
12,000,000.00
12,000,000.00
11,600,500.00
2024/2025
Mapato ya ndani



2.
Ujenzi wa matundu 12 ya vyoo shule ya sekondari makwema
Ujenzi wa vyoo matundu 12 umekamilika
100
16,000,000.00
16,000,000.00
6,550,000.00
2024/2025
Mapato ya ndani



 
Jumla
28,000,000.00
28,000,000.00
18,150,500.00





B. MIRADI  ILIYOMALIZA FEDHA ZA UTEKELEZAJI NA MIRADI HAIJAKAMILIKA.

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30, Septemba 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe  30, Septemba2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1
Ukamilishaji ujenzi wa bwalo la chakula katika shule ya sekondari ya wasichana Lugalo
Ujenzi wa  bwalo upo hatua ya kufunga mifumo yam aji
Mabweni bado milango
89
600,000,000.00
600,000,000.00
588,733,520.00
2024/2025
SEQUIP na Mapato ya ndani
16.9.2024
30.7.2025
Kiasi cha Tsh.152,737,360.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha mradi
2
Ujenzi wa miundombinu mipya ya shule ya sekondari   ya wasichana Lugalo
Ujenzi wa madarasa 10 na nyumba 3 za walimu zimekamilikJengo la Tehama, na Maktaba  umekamilika, Ujenzi wa   mabweni 4 upo  hatua ya ukamilishaji ( (ufungaji wa milango),
96
1,100,000,000.00
1,100,000,000.00
1,099,718,454.00
2023/24
SEQUIP
16.9.2024  1.10.2024
30.6.2025
Kiasi cha Tsh. 51,740,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha mradi
3
Ujenzi wa shule mpya sekondari ya Kipaduka
Ujenzi  wa madarasa 8 na ofisi,  jengo la utawala,  na vyoo matundu 8 ujenzi umekamilika, Ujenzi wa jengo la Tehama na  Maktaba , majengo ya maabara ya kemia na biolojia hatua ya ukamilishaji(kuweka tiles, mifumo ya maji na gasi, kuweka milango), jengo  la maabara ya fizikia hatua ya kuezeka   na ujenzi wa vyoo matundu 4  ya walimu yapo hatua ya ukamilishaji(kufunga milango) na ujenzi wa kichomea taka kimoja kimejengwa na kingine kinaendelea na tanki la ardhini upo hatua ya maandalizi
87
583,180,028.00
583,180,028.00
572,436,252.8
2023/24
SEQUIP
14.9.2024
28.2.2025
Kiasi cha Tsh. 85,296,510.92 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha
4
Ujenzi wa miundombinu mipya ya shule ya sekondari Kilolo
Ujenzi wa mabweni 2 hatua ya ukamilishaji, bweni la  wasichana hatua ya skimming, kuweka fremu za milango na topu zake na mfumo wa maji taka, bweni la wavulana hatua ya kufunga fremu za milango na topu zake na mfumo wa maji taka,  vyumba 4 vya madarasa hatua ya kuweka  umeme  na matundu 8 ya vyoo yapo hatua ya uwekaji wa mageti
94
376,000,000.00
376,000,000.00
370,487,076.60
2023/24
SEQUIP
05.09.2024
20.10.202
Kiasi cha Tsh. 49,160,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri  itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha
5
Ujenzi wa miundombinu mipya ya shule ya sekondari Ifingo
Ujenzi wa madarasa 4 na  nyumba 1 ya mwalimu ipo  hatua ya ukamilishaji kufunga milango, Ujenzi wa mabweni mawili( bweni 1  lipo hatua ya ukamilishaji kuwe(kufunga milango) na  bweni la 2 lipo hatua ya kuweka  lenta ya juu), na Matundu 10 ya vyoo yapo hatua ya ukamilishaji kuweka milango
87
480,000,000.00
480,000,000.00
457,163,447.58
2023/24
SEQUIP
07.9.2024
07.12.2024
muda uliongezwa hadi tarehe 30.05.2025
Kiasi cha Tsh.98, 139,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zinavyopatikana ili kukamilisha mradi
6
Ujenzi wa miundombinu mipya  shule ya sekondari Lukosi (Ujenzi wa Madarasa 4, vyoo matundu 10 na mabweni 2)
Ujenzi wa vyumba 4 vya madarasa na matundu 10 ya vyoo umekamilika, na Ujenzi wa mabweni 2 yapo hatua ya kuweka malumalu na kupak rangi
88
380,000,000.00
380,000,000.00
277,785,075.71
2024/2025
SEQUIP
7.11.2024 na 16.11.2024
30.1.2025 na 15.07.2025
Kiasi cha Tsh.12,800,000.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zinavyopatikana ili kukamilisha mradi.
7
Ujenzi wa miundombinu mipya shule ya sekondari Ikokoto (madarasa 4 na ofisi 1, Jengo la utawala, Maabara ya Kemia na Baolojia na Fizikia, Vyoo matundu 8, Jengo la Tehama, Maktaba, Kichomea taka na Mnara wa tanki la maji)
Ujenzi wa vyumba 8 vya madarasa, Jengo la Tehama, jengo la utawala, maktaba, na vyoo matundu 10 umekamilika, na ujenzi wa maabara 3 upo hatua ya kuweka malumalu
99
583,180,028.00
583,180,028.00
561,880,669.00
2024/2025
SEQUIP
13.10.2024
10.4.2025
Kiasi cha Tsh 52,416,200.00 kinahitajika ili kukamilisha mradi hivyo halmashauri itatenga fedha Kadiri zitakavyopatikana ili kukamilisha mradi.
8
Ujenzi wa matundu 10 ya vyoo katika shule ya sekondari Mazombe
Ujenzi upo hatua ya hatua ya ukamilishaji (uwekaji wa malumalu na rangi na mifumo ya maji)
83
20,000,000.00
20,000,000.00
19,973,980.00
.00
2024/2025
Mapato ya ndani
04.5.2025
4.9.2025
Ushiriki mdogo wa nguvu kazi za wananchi.
JUMLA

 4,122,360,056.00 

 4,122,360,056.00 

 3,948,178,475.69 

 
 
 
 
 

C.MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25 INAYOENDELEA KUTEKELEZWA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe  tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
  1. 2
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo katika shule ya sekondari Ipeta
Ujenzi upo hatua ya  upauji
63
12,000,000.00
12,000,000.00
2,951,630.00
2024/2025
Mapato ya ndani



  1. 3
Ukamilishaji wa hostel ya wasichana Shule ya Sekondari ya Ipeta
Ujenzi upo kwenye hatua ya manunuzi
5
10,000,000.00
10,000,000.00
0.00
2024/25
Mapato ya ndani
-
-

  1. 4
Ukamilishaji wa hostel ya wavulana Shule ya Sekondari ya Ukwega
Ujenzi upo hatua ya manunuzi
5
15,000,000.00
15,000,000.00
0.00
2024/25
Mapato ya ndani
-
-

  1. 6
Ujenzi wa shule mpya ya sekondari kijiji cha Itonya
Taratibu za manunuzi
5
583,180,028.00
583,180,028.00
0.00
2024/2025
SEQUIP



  1. 7
Ujenzi wa vyoo matundu 5 shule ya sekondari  Ng’ang’ange
Ujenzi wa vyoo upo hatua ya ukamilishaji (bado uwekaji wa malumalu,rangi na kupachika masinki)
85
10,500,000.00
10,500,000.00
8,138,000.00
2024/2025
SEQUIP
04.082025
03.09.2025

 
JUMLA
 
630,680,028.00
630,680,028

11,089,630.00 

 
 
 
 
 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

D. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2025/26 ILIYOPELEKEWA FEDHA MWEZI SEPTEMBA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30  Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/ Maoni
1.
Ujenzi wa chumba 1 cha darasa shule ya Sekondari Irima
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

20,000,000.00
20,000,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



2.
Ujenzi wa chumba 1 cha darasa shule ya Sekondari Ng’ang’ange
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

20,000,000.00
20,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



3.
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo shule ya Sekondari Selebu
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

12,000,000.00
12,000,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



4.
Ujenzi wa matundu 6 ya vyoo shule ya Sekondari Irole
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

12,000,000.00
12,000,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



5.
Ujenzi wa matundu 10 ya vyoo shule ya Sekondari Uhambingeto
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

20,000,000.00
20,000,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



6.
Ukamilishaji wa ujenzi wa Bweni shule ya Sekondari Kiheka
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

20,000,000.00
20,000,000.00
0.00
2025/26
Mapato ya ndani



7.
Ukamilishaji wa maabara 1 shule ya Sekondari Ifingo
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

30,000,000.00
30,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



8.
Ukamilishaji wa maabara 2 shule ya Sekondari Nyanzwa
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

30,000,000.00
30,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



JUMLA

164,000,000.00
164,000,000.00
0.00





 

 

3. AFYA

MIRADI ILIYOKAMILIKA

Na
Jina la Mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha Fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya Kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1.
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika zahanati ya Lyasa Image
Ujenzi wa kichomea taka (1), shimo la kutupia kondo la nyuma la wazazi (1), shimo la majivu (1) na fensi kuzunguka shimo la kutupia kondo la nyuma la ujenzi umekamilika
100
22,000,000.00
22,000,000.00
19,000,000.00
2024/25
SRWSS



2.
Ujenzi wa miundombinu ya usafi wa mazingira katika zahanati ya Nyanzwa
Kichomea taka, shimo la kutupia kondo la nyuma na majivu imekamilika
90
19,000,000.00
19,000,000.00
18,050,000.00
2024/25
SRWSS



JUMLA
 
41,000,000.00
41,000,000.00
37,050,000.00





MIRADI ILIYOMALIZA FEDHA ZA UTEKELEZAJI NA MIRADI HAIJAKAMILIKA

Na
Jina la Mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 31 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 31 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha Fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya Kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1
Ukamilishaji wa ujenzi wa miundombinu katika kituo cha afya nyalumbu  
Ujenzi wa nyumba ya mtumishi (3 in 1) upo hatua ya kupaka rangi na uwekaji umeme phase 2, ufungaji mfumo wa maji,uwekaji malumalu, uwekaji wa milango na madirisha , ujenzi wa njia ya kutembelea (walk ways), jengo la wodi ya wazazi na upasuaji na jengo la kufulia limekamilika.
90
250,000,000.00
250,000,000.00
243,326,698.11
2024/25
TMCHIP
13.12.2024
30.6.2025
Kiasi cha Tsh. 38,000,000.00 kinahatajika ili kukamilisha mradi hivyo Halmashauri itatenga fedha kadri zitavyopatikana
2
Kuwezesha ukamilishaji wa Zahanati ya Mbigili
Ujenzi upo hatua ya ukamilishaji
68
30,000,000.00
30,000,000.00
30,000,000.00
2024/25
Mapato ya ndani
8.4.2025
23.4.2025

JUMLA
 

280,000,000.00 

280,000,000.00 
273,326,698.11 
 
 
 
 


 

 

 

 

 

 

 

 

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30  Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/ Maoni
1.
Ujenzi wa chumba cha kuhifadhia dawa katika Hospitali ya Wilaya ya Kilolo
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025
0
130,000,000.00
130,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



 
JUMLA

130,000,000.00
130,000,000.00
0.00





D. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2025/26 ILIYOPELEKEWA FEDHA MWEZI SEPTEMBA

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

UTAWALA

 

A. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25 INAYOENDELEA KUTEKELEZWA

Na
Jina la Mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha Iliyopokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha Fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya Kukamilisha mradi
Changamoto/Maoni
1
Ujenzi wa nyumba 2 za wakuu wa idara
Taratibu za manunuzi
5
160,000,000.00
160,000,000.00
0.00
2024/25
Serikali Kuu
-
-

JUMLA
160,000,000.00
160,000,000.00
0.00





 

B. MIRADI YA MWAKA WA FEDHA 2025/26 ILIYOPELEKEWA FEDHA MWEZI SEPTEMBA

Na
Jina la mradi
Utekelezaji
%
Bajeti idhinishwa
Fedha ilipokelewa hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Fedha iliyotumika hadi tarehe 30 Septemba, 2025
Mwaka wa mapokezi ya Fedha
Chanzo cha fedha
Tarehe ya kuanza mradi
Tarehe ya kukamilisha mradi
Changamoto/ Maoni
1.
Ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji (W)
Fedha zimepokelewa mwishoni mwa mwezi septemba 2025

100,000,000.00
100,000,000.00
0.00
2025/26
Serikali Kuu



Jumla 
100,000,000.00
100,000,000.00
0.00





 

Chanzo: Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, 2025

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 September 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA June 30, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 104 VYANUFAIKA NA MIKOPO YA BILIONI MOJA NA ZAIDI.

    October 24, 2025
  • SHIRIKISHO LA UHIFADHI WA MAZINGIRA ASILIA (IUCN) LAFIKA KILOLO

    October 07, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI 48 WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO, KILOLO

    August 04, 2025
  • DAS - AIPOKEA UCSAF KILOLO

    July 24, 2025
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa