• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Kupata Leseni ya kuendesha abiria kwa kutumia pikiki za magudumu mawili na matatu

a.Hakuna mtu atakayeruhusiwa kuendesha biashara ya kubeba abiria kwa pikipiki za magurudumu mawili na matatu bila ya kuwa na leseni ya usafirishaji
b.Mtu yeyote anayetaka kufanya biashara ya kubeba abiria kwa pikipiki za magurudumu mawili na matatu atatakiwa kupeleka maombi ya leseni kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa ambazo zinajumuisha Halmashauri za Majiji, Manispaa, Miji na Wilaya”
c.Pikipiki za magurudumu mawili na matatu zinatoa huduma za usafiri wa abiria zitakuwa na vibao vyenye namba ya usajili vilivyoandikwa kwa maandishi meusi na vibao vyeupe
d.Leseni zitatolewa tu kwa muombaji ambaye ni mwanachama wa umoja uliosajiliwa
e.Mtu ambaye atafanya biashara ya kubeba abiria kwa pikipiki za magurudumu mawili au matatu bila ya kuwa na leseni ya usafirshaji atakuwa amevunja Sheria ambapo atashitakiwa na kutozwa faini kati y ash 50,000 hadi 100,000 au kufungwa jela kati ya miezi 6 na mwaka mmoja.

Kuwasilisha maombi ya leseni

Leseni za usafirishaji wa abiria kwa pikipiki za magurudumu mawili na matatu zitatolewa na Afisa aliyeteuliwa na Mkurugenzi wa Jiji/Mji/Wilaya au Manispaa husika ambaye atajulikana kama Afisa Mteule. Kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo Afisa aliyeuliwa kwaajili ya Kutoa leseni za usafirishaji wa abiria kwa pikipiki ni Afisa Biashara wa Wilaya.
Muombaji wa Leseni za usafirishaji abiria kwa pikipiki za magurudumu mawili na matatu atajaza fomu ya maombi akiambatisha viambatisho vifuatavyo:
a) Nakala ya kadi ya uanachama na barua ya utambulisho kutoka katika Umoja/Chama/Ushirika uliosajiliwa rasmi na Serikali;
b) Nakala ya Cheti halisi cha usajili wa pikipiki ya magurudumu mawili au matatu;
c) Nakala ya Bima ya pikipiki kwa ajili ya abiria watakaopanda pikipiki husika;
d) Taarifa ya ukaguzi kutoka kwa mkaguzi wa vyombo vya moto (V.I.R);
e) Ikiwa ni Kampuni, Umoja au Chama, awasilishe cheti cha usajili wa umoja au chama au Kampuni;
f) Nakala ya leseni ya kuendesha pikipiki pamoja na picha za dereva za hivi karibuni;
g) Nakala ya mkataba wa ajira kati ya dereva na mmiliki wa pikipiki husika,
h) Nyaraka zozote za ziada zinazoweza kuhitajika na SUMATRA.

Baada ya Afisa Mteule wa Wilaya kupokea fomu ya maombi ya leseni pamoja na viambatisho vyake atakagua kwa lengo la kujiridhisha kuwa taarifa zilizopo ni sahihi na akiridhika na yaliyomo kwenye fomu ya maombi ya leseni pamoja na viambatisho, kabla ya kutoa leseni atamuelekeza muombaji kulipa ada ya leseni: 

  •  Tsh: 20,000/= kwa pikipiki za magurudumu mawili 
  •  Tshs: 30,000/= kwa pikipiki za magurudumu matatu.

Pia atalipia Kila fomu ya maombi Tshs: 2,000/=

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha kwanza 2023 December 14, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI July 05, 2022
  • KARIBU WAAJIRIWA WOTE WALIOPANGIWA KURIPOTI KILOLO July 08, 2022
  • Majina yawalioitwa kwenye Usaili wa Karani,Msimamizi wa Maudhui na Msimamizi wa TEHAMA kwenye sensa ya watu na makazi wilaya ya Kilolo July 15, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MRADI WA ELIMU WA VILABU YA KUJISOMEA (READING CLUBS PROJECT) WA CHUO KIKUU CHA AGAKHAN, TAASISI YA MAENDELEO YA ELIMU AFRIKA MASHARIKI WILAYA YA KILOLO NA IRINGA.

    November 21, 2021
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO YANG'ARA KATIKA MAONYESHO YA NANENANE 2017

    August 11, 2017
  • JUKWAA LA UWEZESHAJI KIUCHUMI KWA WANAWAKE NGAZI YA WILAYA LA ZINDULIWA

    May 18, 2017
  • Mh.JAFO SULEIMAN SAID AKIKAGUA UJENZI WA MAJENGO YA HOSPITALI YA WILAYA YA KILOLO UNAVYOENDELEA

    May 16, 2017
  • Angalia zote

Video

Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa akitoa ujumbe wa mwenge 2017
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa