• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE CHAFANYIKA KILOLO

Posted on: December 17th, 2024

Kikao cha Tathmini ya Mkataba wa Lishe  Ggazi ya Wila kimefanyika tarehe 17-12-2024 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kikiongozwa na kaimu mwenyekiti, Katibu Tawala (W) Ndugu Estomin Kyando.

Katika kikao hicho kaimu mwenyekiti  alitoa maagizo  kwa wasimamizi kufwatilia na kuhakikisha mpango  wa utoaji chakula shuleni unaimarishwa na watoto wote wawe wanapata chakula, pia alisisitiza hamasa zaidi itolewe kwa wanaume wawe na mazoea ya kuhudhuria katika matukio ya Afya na Lishe . pamoja na maagizo hayo alisisitiza elimu izidi kutolewa ili kuongeza  ufanisi katika utekelezaji wa Afua za lishe  na ufuatiliaji wa watoto watakaozaliwa  na kubainika na changamoto mbalimbali za kilishe.

“tujitahidi sana mpango wa kula mashuleni uwe endelevu na uzidi kuimarishwa zaidi ili kila mwanafunzi awe anapata chakula shuleni bila kukosa  na hii itasaidia mtoto kusoma vizuri na kuelewa haraka darasani. Hatutaki watoto wetu wawe na udumavu wakati Iringa ni Mkoa unaozalisha vyakula mbalimbali kwa wingi nchini.” Alisema Kyando

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya kilolo Ndugu Hassan Mnyikah alipopata nafasi ya kuzungumza alimshukuru  kaimu mwenyekiti  kwa maelekezo yote aliyoyatoa na kumuhakikishia atayatekeleza  yote kwa wakati.

Akiendele kuzungumza Mnyikah aliwataka watendaji wote wahakikishe chakula kinachotolewa shuleni kiwe bora na salama na wanafunzi wote wanapata chakula. Pia alitoa agizo kwa watendaji hao ambao wana shule hazilishi chakula  wanafunzi kutokana na sintofahamu  kati ya kamati za chakula shuleni na walimu wakuu, waitishe mkutano wakae pamoja na waweke mazingira mazuri ya kuhakikisha chakula kinatolewa kwa wanafunzi wote, na mpaka tarehe 30-12-2024 awe ameshapata mrejesho kwa yale yote waliyokubaliana na kuamua.

“watendaji tukimaliza kikao hapa  mkaitishe mkutano wa kamati za chakula shuleni pamoja na wakuu wa shule  ili kwa pamoja  mtengeneze mazingira mazuri ya wanafunzi  kupata chakula wakiwa mashuleni na nawapa mpaka tarehe 30 mwezi huu muwe mshaniletea mrejesho ofisini kwangu.” Alisema Mnyikah

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Kuitwa usaili wakusanya mapato October 16, 2024
  • KUITWA KAZINI October 29, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 WARIDHIA MIRADI YOTE KILOLO DC

    April 30, 2025
  • WILAYA YA KILOLO KUFANYA MAONYESHO MAKUBWA YA BIASHARA, KILIMO NA VIWANDA

    April 16, 2025
  • MAFUNZO ELEKEZI KWA AJILI YA USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA NA VIJIJI.

    January 14, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI (WASIMAMIZI) NGAZI YA JIMBO KILOLO YATAMATIKA

    December 20, 2024
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa