• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

TUFWATILIE VIBALI VYA UJENZI – ANNA Msola

Posted on: December 18th, 2024

Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Mhe. Anna Msola amewaagiza wataalamu kutoka idara ya Ardhi kuongeza  kasi  ya kufuatilia majengo  yote yanayojengwa  kama yanavibali vya ujenzi, kwani kufanya hivyo itaondoa ujenzi holela wa makazi lakini kubwa zaidi halmashauri itakusanya mapato.

“watu wa ardhi tukipita maeneo mbalimbali  ya wilaya yetu tunaona watu wanavyojenga majumba kwa kasi, lakini cha kushangaza wengi wao  hawana vibali vya ujenzi hivyo nawamba anzisheni operesheni maalumu  ya kukagua majengo yote yanayojengwa mhakikishe kama yana vibali na hii itatuongezea mapato lakini pia watu watajenga  kwa kufuata  ramani na hivyo kuupendezesha mji wetu.” Alisema Anna Msola

Aidha kwa upande wa wajumbe wa kamati hio wao walisisitizia swala zima la upungufu wa madawati na viti mashuleni  na kushauri mikakati yote iliyopendekezwa na kupitishwa ili kuondokana na tatizo hilo  ianze kutekelezwa mara moja ili ifikapo Januari  watoto wote mashuleni wakae kwenye madawati na kwa nafasi.

Wakati huohuo  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo Ndugu Hassan Mnyikah aliishukuru kamati hio kwa maono na ushauri wao mzuri walioutoa  na kuahidi  kuufanyia kazi kwa vitendo  ili kuhakikisha  maendeleo ya halmshauri na ukusanyaji wa mapato unazidi kushamiri.

Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya kilolo tarehe 18-12-2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Kuitwa usaili wakusanya mapato October 16, 2024
  • KUITWA KAZINI October 29, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 WARIDHIA MIRADI YOTE KILOLO DC

    April 30, 2025
  • WILAYA YA KILOLO KUFANYA MAONYESHO MAKUBWA YA BIASHARA, KILIMO NA VIWANDA

    April 16, 2025
  • MAFUNZO ELEKEZI KWA AJILI YA USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA NA VIJIJI.

    January 14, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI (WASIMAMIZI) NGAZI YA JIMBO KILOLO YATAMATIKA

    December 20, 2024
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa