• Kero |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Kilolo District Council
Kilolo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo,Umwagiliaji na ushirika
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi,Maliasili na Mazingira
      • Maji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu
      • Ufugaji
    • Afya
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
      • Customers services agreement
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofis au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

WILAYA YA KILOLO KUFANYA MAONYESHO MAKUBWA YA BIASHARA, KILIMO NA VIWANDA

Posted on: April 16th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Mhe.Rebecca Sanga Nsemwa ambaye pia ndie Mwenyekiti wa baraza la biashara, ameutangazia umma kuhusana  na ujio wa  maonyesho makubwa ya biashara, viwanda na kilimo yatakayofanyika  tarehe 21-05-2025 katika viwanja vya Chuo cha Maendeleo FDC kilichopo mji mdogo wa Ilula.

Maonyesho hayo yameandaliwa na Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo TCCIA, yakilenga kuwapatia nafasi wawekezaji, wafanyabiashara na wafugaji kuziona na kuzitambua fursa zilizopo Wilayani Kilolo ili wapate kuongeza na kutanua wigo wa uzalishaji, uwekezaji pamoja na masoko yao kiujumla.


Akizungumza  katika kikao hicho cha Majadiliano ya Maonyesho hayo Rebecca  Nsemwa amewaalika Wananchi wa Mkoa wa Iringa  na maeneo ya jirani kuja kushiriki kikamilifu katika maonyesho hayo kwani yanatija kubwa sana kwa makundi mbalimbali yatakayoshiriki.

“Maonyesho hayo ni muhimu sana katika kukuza uchumi wetu wa wananchi wa Wilaya ya Kilolo na Mkoa wa Iringa kiujumla, kwani maonyesho yatajumuisha makampuni mbalimbali yatakayo onyesha  jinsi ya kuongeza thamani  katika mazao yetu pia wadau mbalimbali wa usindikaji na uwekezaji watashiriki.”  

Aidha kwa upande wake Mwenyekiti wa Chemba ya Biashara, Viwanda  na kilimo TCCIA Wilaya ya Kilolo, Charles Chavala ameeleza kuwa wamejipanga  ipasavyo kufanikisha  kwa ufanisi mkubwa maonyesho hayo, huku wakiamini kuwa wakazi wa  wilaya ya kilolo watanufaika na maonyesho hayo kwa sekta zote zikiwemo  kilimo, biashara ufugaji, viwanda n.k.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA WATUMISHI WA UMMA December 23, 2024
  • Waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa "Oral" October 10, 2024
  • Kuitwa usaili wakusanya mapato October 16, 2024
  • KUITWA KAZINI October 29, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 WARIDHIA MIRADI YOTE KILOLO DC

    April 30, 2025
  • WILAYA YA KILOLO KUFANYA MAONYESHO MAKUBWA YA BIASHARA, KILIMO NA VIWANDA

    April 16, 2025
  • MAFUNZO ELEKEZI KWA AJILI YA USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA NA VIJIJI.

    January 14, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI (WASIMAMIZI) NGAZI YA JIMBO KILOLO YATAMATIKA

    December 20, 2024
  • Angalia zote

Video

Jinsi ya Kupata leseni ya Biashara kupitia simu ya Mkononi
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Tangazo la Ajira

Viungio vinavyohusiana

  • Public Service Management
  • Watumishi Portal
  • PO-RALG
  • National Examination Council
  • eGA
  • Mkoa wa Iringa
  • Mufindi DC
  • Iringa DC
  • Iringa MC

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtengaji wa Wilaya

    Postal Address: S.L.P 2324 Kilolo

    Simu ya mezani: 0262968010

    Mobile:

    Anuwani ya barua pepe: ded@kilolodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hati miliki @2017 Halmashuri ya Wilaya ya Kilolo.Haki zote zimeifadhiwa