Posted on: November 28th, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo imeendesha mafunzo ya maandalizi ya Mpango na Bajeti na mafunzo ya mfumo wa FFARS uliyoboreshwa (e-FFARS) kwa Watendaji wa Kata 24 na Vijiji 110.
Mafunzo hayo ya...
Posted on: October 24th, 2025
Uzinduzi wa utoaji mikopo ya asilimia kumi (10%) umefanyika Oktoba 24, 2025 katika ukumbi uliopo mji mdogo wa Ilula na kualika wadau mbalimbali kuja kushuhudia tukio hilo.
Mchakato wa utoaj...
Posted on: October 7th, 2025
Kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya kilolo Dkt. John Mwingira mapema leo tarehe 7/10/2025, amepokea ugeni kutoka shirikisho la uhifadhi wa mazingira asilia duniani (IUCN) k...